Simba ifanyeje kuwauaa FC PLATINUM

majirani hutawaona tena kwenye uzi huu
 
Nashukuru ushari wangu Wa kuingia na mapaka wameufanyia kazi na umewazalia matunda. Hii timu kwa kuroga imeshindikana!
 
Nashukuru ushari wangu Wa kuingia na mapaka wameufanyia kazi na umewazalia matunda. Hii timu kwa kuroga imeshindikana!
Hivi juzi kati wakati Kaseke anatikisa Nyavu vs Prison mara ashike taulo, mara afukue chini alikuwa na maana gani.
Halafu kama paka ni deal nanyi si mtumie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…