Simba ijitoe CAF Club Champions 2023/2024

Simba ijitoe CAF Club Champions 2023/2024

Kwani ukikaa kimya utapungukiwa nini??hayo ndio majukumu na kazi yao pia,,, injuries zipo tuu hata kwa waendesha guta mjini wala si swala la kuogofya!!!
 
super league n team 8 ,lakini inachezwa kwa knock out ...kuna port A na B ...ina maana mashndano hayatakua na mech nying kama mnavosema maana akitolewa mech ya kwanza ndio imeisha hvo na akifika fainali n mech kama 3 had 4 ..kwahiyo haiwez kujitoa
 
super league n team 8 ,lakini inachezwa kwa knock out ...kuna port A na B ...ina maana mashndano hayatakua na mech nying kama mnavosema maana akitolewa mech ya kwanza ndio imeisha hvo na akifika fainali n mech kama 3 had 4 ..kwahiyo haiwez kujitoa
Hata kwa kutumia logic ndogo, CAF watoe sh bilioni 5 kwa kila timu kwa ajili ya maandalizi na usajili, halafu timu icheze mechi moja na kutolewa. ???
Kumbuka hii ni league na sio knock out
 
Hata kwa kutumia logic ndogo, CAF watoe sh bilioni 5 kwa kila timu kwa ajili ya maandalizi na usajili, halafu timu icheze mechi moja na kutolewa. ???
Kumbuka hii ni league na sio knock out
Kaka, unakumbuka hoja hii?
 
Msimu ujao michuano mipya, ambayo ndio ya hadhi ya juu zaidi katika ngazi ya vilabu Africa Super League inaanza. Ujio wa mashindano hayo hautafuta CAF Club Championship ambayo kwa msimu huu Simba bado inashiriki na tayari imeingia robo fainali.

Michuano ya Africa Super League itajumuisha team 8 ambazo zote zitapambana home and away. Hivyo Simba mwakani itacheza mechi 14 ngumu za Africa Super League. Simba kwa msimamo wa NBC league inayoendelea sasa hivi ni dhahiri ita qualify kushiriki CAF Club Championship msimu ujao, na kama itafika robo fainali (Ni kawaida yao kwa sasa hivi) msimu ujao itacheza mechi 12.

NBC League TZ Simba inacheza mechi 30. Azam Confederation Cup angalau mechi 5, Mapinduzi Cup angalau mechi 3. Hapo utaona mwakani Simba itapaswa kucheza mechi za mashindano angalau 61, sijajumuisha pre season, mechi za kirafiki na Simba day. Hapo tukumbuke karibu Ist eleven yote ya team Wana majukumu ya kuchezea team za mataifa yao katika mechi za mashindano na kirafiki, na mwakani February Kuna Afcon.

Ili Simba iweze kufsnya vizuri Africa Super League, na kwa afya nzuri ya wachezaji ikiwemo kupunguza injuries nashauri Simba ijitoe CAF Club Championship msimu ujao. Vinginevyo iruhusiwe kusajili kikosi kipana cha wachezaji 40, na foreigners waongezwe wafike 18, na Simba itumie fursa hiyo kusajili wachezaji wa viwango kweli kweli, sio akina Quattar.
Mpaka sasa hesabu ya AFL imeshafungwa kwa Simba kuishia kucheza mechi mbili tu. Ila tuje kwenye msingi wako wa hoja

Kati ya African football league na CAF champions league, mashindano yenye hadhi kubwa ni CAF champions league. Timu ikijitoa CAF champions league itakuwa imepoteza pakubwa sana, labda ikitokea mashindano ya African football league yakifanyiwa maboresho.

Ifuatayo ni baadhi ya faida ya CAF champions league

1) Ranking za CAF hufanywa kwa kutumia mashindano ya klabu bingwa na wala hawatumii mashindano ya AFL kufanya ranking.
2) kuna mashindano ya FIFA club world cup ambapo washiriki hupatikana kwa kuangalia mashindano ya champions league hivyo AFL hadi sasa imebakia kama bonanza tu au shindano la vilabu kujipatia pesa nyingi ila zaidi ya hapo mshindi ha qualify kucheza popote pale.

Haya mashindano ya AFL ili yawe na thamani basi CAF waangalie namna ya kuyaboresha ukiachana na mambo ya mkwanja mkubwa kwa vilabu vinavyoshiriki.
 
Back
Top Bottom