baba aura
JF-Expert Member
- Aug 5, 2023
- 254
- 393
Habar wakuu,
Siwezi kuafiki ya kuwa Simba ataifunga yanga tarehe 5 yaani hata kwa kunyoshewa mtutu mie nitaendelea kupinga tu.
Yaani kwa Yanga hii yenye
High quality player
Plus good performance
Yaani naona Simba ikijitahidi sana anatoa draw tu, asiyekubali atakubali siku ya tarehe 5.
Siwezi kuafiki ya kuwa Simba ataifunga yanga tarehe 5 yaani hata kwa kunyoshewa mtutu mie nitaendelea kupinga tu.
Yaani kwa Yanga hii yenye
High quality player
- Kipa bora
- Beki bora
- Viungo wa kati bora
- Viungo wa pembeni bora
Plus good performance
Yaani naona Simba ikijitahidi sana anatoa draw tu, asiyekubali atakubali siku ya tarehe 5.