Simba ikikaribia kupata mgao wa CAF lazima Mohamed Dewji aibuke

Hmmm nakufumaniaga sehem nying sana sema mtani na ww unapenda choko choko 🤣
Na wanasema chokochoko mchokoe pweza, binadamu hutomuweza 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama kweli nina chokochoko, naacha mtani. Nimekosa mimi na nimekosa sana...
 
Kumbuka nilikuwepo wakati Karume anatowa hizo pesa, wewe unasikia na kuyasoma tu, labda nikujuze wewe.
 
Atuachie timu yetu kwani yeye kafanya mangapi kupitia simba katangaza biashara kibao kupitia simba.

Kama hapati faida wakae chini na viongozi hatutaki mapenzi yake na timu ndio iwe fimbo kwetu.
Siyo bure, UMETUMWA na Kigwangala nadhani.
Midomo mirefu utadhani kuna unachochangia kwenye timu. Hata katoni moja tu ya maji ya uhai hujawahi na huna uwezo wa kutoa kwa timu.
Ufedhuli tu umekujaa wewe UTOPOLO.
Ningekusifu sana kama ungesema unataka sasa uifadhili club badala ya MO.
 
Sasa kama huyo Mo anagharamia pesa zote kwenye klabu yenu, zile pesa ngingine za mapato ya mlangoni, mapato yatokanayo na jezi, mdhamini Azam, Mbet (bilion 4 kila mwaka), matangazo ya bidhaa za mwekezaji kwenye jezi za timu, nk

Huwa zinafanyia nini?
 
Unataka kusemaje mkubwa mbona unaandika huku utetemeka hebu jiulize simba imeanza kushiriki michuano ya kimataifa miaka mingapi je kabla ya hapo walikua wanaenda na malori nini hizo nchi.
Miaka karibia yote Simba inacheza mechi ya awali na kutoka mapema...mechi Moja
Out mara ya mwisho 2003 na kipindi hicho kassim mfadhili
 
Aisee mbona Mali alizikuta kwa Baba yake? na yeye alisha declare hilo?
 
Sasa kama huyo Mo anagharamia pesa zote kwenye klabu yenu, zile pesa ngingine za mapato ya mlangoni, mapato yatokanayo na jezi, mdhamini Azam, Mbet (bilion 4 kila mwaka), matangazo ya bidhaa za mwekezaji kwenye jezi za timu, nk

Huwa zinafanyia nini?
Zinalipa Mishahara.
 
Kama humjui Ghullum Dewji, basi usiandike chochote kuhusu Mwamedi Dewji, humjui.
 
Wacha awanyonye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…