Simba ikishinda Leo dhidi ya Al ahly tripoli nipigwe ban

Amka Baba Ile ilikuwa ndio fainali.Safari hii tunavaa Dhahabu sio Yale mabati yenuπŸ˜‚
Huwa ninawakubali kwa jambo moja tu. Miaka yote huwa mkishinda game moja au mbili basi mnaona tayari hakuna wa kuwazuia hadi fainali na kuchukuwa kombe. HAKIKA HUWA NINAPENDA SANA MZUKA WENU. NAJUA MTAANZA TENA KUJIONA NI LEVEL MOJA NA BARCELONA

Shirikisho hoyeee
 
Then baadaye wataanza....hatumtaki mgunda
 
Ni kama ulisema utani support [emoji32][emoji32][emoji32]


Ama kweli usuamini binadamu[emoji24][emoji24]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hadi nimecheka. Lol.

Kikubwa ban imeisha hayo mengine yaache tu Mkuu.
 
Jirani kwa hiyo rangi yako kutoka Dubai, utapendeza mno kwenye Uzi mwekundu wa Mnyama

Sema ndiyo nimtume mjumbe akuletee πŸ€—

Kumbuka red is the color πŸ’ͺ
Weeee! Akuuu!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Acha nikusalimie tu jirani. πŸšΆβ€β™€οΈβ€βž‘οΈ
 
Ni nadra sana kukutana na mtu wa Yanga akawa na akili timamu ndo maana wamekua wepesi kumuamini Haji Manara
 
Hoyee tunaenda kutafuta point Baba hatuna cha kuloose. Kumbuka Shirikisho ndio lilikutoa kwenye rank za Vitalo SASA hivi na wewe unaogopeka. Hata Roma haikujengwa Kwa siku moja. Mashindano hayo muhimu 'consistence' Kitu ambacho Azam kakikosa.
 
Hoyee tunaenda kutafuta point Baba hatuna cha kuloose. Kumbuka Shirikisho ndio lilikutoa kwenye rank za Vitalo SASA hivi na wewe unaogopeka. Hata Roma haikujengwa Kwa siku moja. Mashindano hayo muhimu 'consistence' Kitu ambacho Azam kakikosa.
Hakika upo sahihi. Simba ina nafasi kubwa mbili kwenye mashindano haya 1. Kufika Fainali 2. Kuchukuwa kombe.

Wakiishia njiani wajilaumu wao wenyewe.
 
Weeee! Akuuu!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Acha nikusalimie tu jirani. πŸšΆβ€β™€οΈβ€βž‘οΈ
Amini nakwambia, rangi nyekundu itakupendeza balaa πŸ€—

Pitia maeneo basi uchukue jersey yako🚢

Komasava 🀝
 
Kupigwa miti ndiyo itapendeza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…