Huwa ninawakubali kwa jambo moja tu. Miaka yote huwa mkishinda game moja au mbili basi mnaona tayari hakuna wa kuwazuia hadi fainali na kuchukuwa kombe. HAKIKA HUWA NINAPENDA SANA MZUKA WENU. NAJUA MTAANZA TENA KUJIONA NI LEVEL MOJA NA BARCELONAAmka Baba Ile ilikuwa ndio fainali.Safari hii tunavaa Dhahabu sio Yale mabati yenuπ
Then baadaye wataanza....hatumtaki mgundaHuwa ninawakubali kwa jambo moja tu. Miaka yote huwa mkishinda game moja au mbili basi mnaona tayari hakuna wa kuwazuia hadi fainali na kuchukuwa kombe. HAKIKA HUWA NINAPENDA SANA MZUKA WENU. NAJUA MTAANZA TENA KUJIONA NI LEVEL MOJA NA BARCELONA
Shirikisho hoyeee
Pumnzi ya Motoππ
πππ hadi nimecheka. Lol.Ni kama ulisema utani support [emoji32][emoji32][emoji32]
Ama kweli usuamini binadamu[emoji24][emoji24]
Weeee! Akuuu!! πππJirani kwa hiyo rangi yako kutoka Dubai, utapendeza mno kwenye Uzi mwekundu wa Mnyama
Sema ndiyo nimtume mjumbe akuletee π€
Kumbuka red is the color πͺ
Alipigwa kweli?!πππ hadi nimecheka. Lol.
Kikubwa ban imeisha hayo mengine yaache tu Mkuu.
Ndio.Alipigwa kweli?!
Hoyee tunaenda kutafuta point Baba hatuna cha kuloose. Kumbuka Shirikisho ndio lilikutoa kwenye rank za Vitalo SASA hivi na wewe unaogopeka. Hata Roma haikujengwa Kwa siku moja. Mashindano hayo muhimu 'consistence' Kitu ambacho Azam kakikosa.Huwa ninawakubali kwa jambo moja tu. Miaka yote huwa mkishinda game moja au mbili basi mnaona tayari hakuna wa kuwazuia hadi fainali na kuchukuwa kombe. HAKIKA HUWA NINAPENDA SANA MZUKA WENU. NAJUA MTAANZA TENA KUJIONA NI LEVEL MOJA NA BARCELONA
Shirikisho hoyeee
Hakika upo sahihi. Simba ina nafasi kubwa mbili kwenye mashindano haya 1. Kufika Fainali 2. Kuchukuwa kombe.Hoyee tunaenda kutafuta point Baba hatuna cha kuloose. Kumbuka Shirikisho ndio lilikutoa kwenye rank za Vitalo SASA hivi na wewe unaogopeka. Hata Roma haikujengwa Kwa siku moja. Mashindano hayo muhimu 'consistence' Kitu ambacho Azam kakikosa.
Amini nakwambia, rangi nyekundu itakupendeza balaa π€Weeee! Akuuu!! πππ
Acha nikusalimie tu jirani. πΆββοΈββ‘οΈ
Hahahaaaa. Lol.Amini nakwambia, rangi nyekundu itakupendeza balaa π€
Pitia maeneo basi uchukue jersey yakoπΆ
Komasava π€
Utanikuta hapo Mjini kati nakusubiri π€Hahahaaaa. Lol.
Namaste. π€
Kupigwa miti ndiyo itapendeza sanaMimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682
Hahahaa. Hivi si tulishafutaga urafiki eee? π€ͺ ππUtanikuta hapo Mjini kati nakusubiri π€