Sisi wengi tunashabikia timu hizi za Kariakoo, lakini huyu mwenzetu kiwango cha ushabiki wake kimepitiliza...Huwa ana ujingaujinga mwingi sana kichwani na mwilini mwake.
Unataka tukukumbushe ama tuzuge hatujui 😅Awapi mkuu sijawahi fanya ivyo
Kweli kabisa.Mimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682
Mtani kwani mtashinda leo? 😂😂Mwisho utavua nguo na uombe kuogeshwa hadharani.Shikilia ubongo huo.Mjini hapa.
Wanang'ang'ana kula walimaharege bila kujua hatima yao wajukuu wa mzee Spunda.Mimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682
Mkuu leo ndio ile siku ingine ya kulala na viatu. TehIle ban yako uliyoomba wakati ule unakumbuka bado hukupigwa ukaanza Kuomba Kwa mods wakuachie
Ngoja tuwakumbushe mods wakupige ile ya kwanza ili ujifunze adabu 🤗
Mnataka mbaki peke yenu kimataifa?Mkuu leo ndio ile siku ingine ya kulala na viatu. Teh
Hamtaniwiii. 😀😀Huwa ana ujingaujinga mwingi sana kichwani na mwilini mwake.
FT DRWMimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682
fadlu yuko mzigoni sa10 alasiri akimlambisha mwarabu asali ya kwa mkapaKumbe Leo kina Fadlu wanacheza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna namna tuifanye kama taifa ya kumpatia boka uraia wa Tanzania.
Hili tuje tumtumie kwenye michezo ya olympic kwenye mbio za riadha.
Huyu nina uhakika atarudi na medali ya dhahabu.
Ko wee mtani unaona hatushindii? Na tukishinda je?Mtani kwani mtashinda leo? [emoji23][emoji23]
Weka Bond mkewako?Mimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682