Simba ikishinda Leo dhidi ya Al ahly tripoli nipigwe ban

Simba ikishinda Leo dhidi ya Al ahly tripoli nipigwe ban

Huyu dogo ni Yanga mwenzangu sema yupo karibu sana na Hersi. Mpaka watu wanamhisi vibaya. Maana mpaka anambebea simu zake sometimes. Hatumwelewi kabisa. Before alikuwa na manara lakini naona kama kaamua kukomaa na Injinia peke yake.
Duh!
 
Sisi wengi tunashabikia timu hizi za Kariakoo, lakini huyu mwenzetu kiwango cha ushabiki wake kimepitiliza...

Ni sawa na wale ambao hufikia kiwango cha kuwaweka bond wake/wapenzi wao kisa ushabiki wa mpira 🙌
Moods tunaomba apigwe ban kweli , hatutaki Ujinga, tunataka wazalendo wa kweli kwa nchi yetu, mpaka Mh.SSH anasuport wewe nani? Tunaomba apigwe ban
 
Haijawahi tokea nmeshindwa kutabiri
Afadj
Japo sio rahisi Kwa Simba hii
emoji23.png
User is banned, and can not reply to this thread📌📌🔨💪🏿
Ombi limetekelezwa😁
 
Back
Top Bottom