Mayala masuka
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 449
- 795
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatariiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siyo ban tu, huku mtaani tutamsaka tumpige nao.
Noumaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eKuna lakujifunza [emoji23][emoji23]
Mtaniiiii janaa ulinikimbiaaa, kwemaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mods wamejua mtakuja kulia lia sana akaamua ampe haki yake mapema. [emoji23][emoji23]
Brooh ako mabululu ana hali gani huko? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chaaa!! Nimekuja Mtani haya nambie. Lol [emoji23][emoji23]
Kuna mtu kasema tundu lisu akikamatwa na polisi apigwe ban😂Lazima apewe alichoomba, mtoto kautakaaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe na huyu mvuta bangi wa Kaliua mnafanana akiliMimi ni simba lakin hii yanga[emoji23][emoji23]..Hapan ndugu zangu..kuna lile jamaa cjui linaitwa boka..linakimbia hatari...Yule mchezaji au mwizi[emoji1787][emoji1787]..ni halali asiwe anatumika kwenye viwanja vidogo maana mnamnyima raha..Jamaa beki na mbele..yaani anaanza mpira nyuma alafu kdg unamuona kwenye box anamwaga maji[emoji23][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
Huyo basi kwakuwa siiamini timu yangu naomba moderator kwaakili x
Zangu timamu ....mnipige bani ya siku 3 kama Simba itashinda Leo ....timu mbovu sana hii[emoji24]View attachment 3102682
Huku unatafutwa upigwe nao maana ban imekua ndogo sana.I'm free now mkuu[emoji23][emoji23] shukrani Kwa maombi yenu