Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaahaaSawa, urudi tu kaliua panakutosha ukanywe uji wa mtama.
Haya njoo, ule matunda ya uhuru[emoji32][emoji32]
Simba huko caf ni nyumbani kwakeAcha mkuu
AfadjHaijawahi tokea nmeshindwa kutabiri
User is banned, and can not reply to this thread📌📌🔨💪🏿Japo sio rahisi Kwa Simba hii![]()
Wametembea naye kiulalo😂
Nextime omba vingine utapewa tu kiroho safi.. Wana hawana hiyanaI'm free now mkuu[emoji23][emoji23] shukrani Kwa maombi yenu
Jirani kwa hiyo rangi yako kutoka Dubai, utapendeza mno kwenye Uzi mwekundu wa MnyamaHahahaa! Weeee!!
Jirani unataka niumwe kwa kuvaa nguo nyekundu. 😂😂
Upunguze shobo SASA. Umemuona Mpanzu Elie?😄[emoji32][emoji32]
Amka Baba Ile ilikuwa ndio fainali.Safari hii tunavaa Dhahabu sio Yale mabati yenu😂Pamoja na Simba Kushinda lakini huyu Labani alikuwa sahihi kabisa. Nadhani tutamuelewa kwenye game zinazofuata
Mie nashangaa keshaachiwa wakati alisema apigwe ban msimu mzima🤷alisha pigwa ban hii tahira?
Kisha apakatweMwisho utavua nguo na uombe kuogeshwa hadharani.Shikilia ubongo huo.Mjini hapa.