Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
R.I.P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, unagaragazwa timely, hawacheleweshiKumbe ukiomba ban unapigwa kweli
safi sanaDah,
Naona mods tayari washafanya yao
Hongereni mods kwa kazi nzuriDogo unapambania? Maadmin tunakata nao gambe siku tukiwa wote huwa hawana mambo ya kiduanzi hivyo.
Tayari ameshinda🔥🔥🔥Ikijitahidi sana ni draw. Sioni ikishinda magoli. Labda itashinda njaa tu. Pamba leo wanashinda. Kwa makafara waliyoyatoa? Mikia kipigo kipo. Tena kipo kweli kweli.
Simba ikishinda nipigwe BAN YA SIKU 3. Najua hilo la Simba kushinda halipo. Wakijitahidi sana ni kutoa Draw. Hapo wamejitahidi sana. Watu wameenda mpaka visiwani huko kutafuta ushindi tena leo ijumaa majini yapo active sana na yamepewa damu... Sioni Mikia kushinda. Sioni
Asalamaleko.
Afadhali kakufa siku tatu🤣🤣🤣R.I.P
Walikumsalani!Ikijitahidi sana ni draw. Sioni ikishinda magoli. Labda itashinda njaa tu. Pamba leo wanashinda. Kwa makafara waliyoyatoa? Mikia kipigo kipo. Tena kipo kweli kweli.
Simba ikishinda nipigwe BAN YA SIKU 3. Najua hilo la Simba kushinda halipo. Wakijitahidi sana ni kutoa Draw. Hapo wamejitahidi sana. Watu wameenda mpaka visiwani huko kutafuta ushindi tena leo ijumaa majini yapo active sana na yamepewa damu... Sioni Mikia kushinda. Sioni
Asalamaleko.
Nahisi dishi lako limeyumba hadi uchomoe nyuma mwiko. Sio bureIkijitahidi sana ni draw. Sioni ikishinda magoli. Labda itashinda njaa tu. Pamba leo wanashinda. Kwa makafara waliyoyatoa? Mikia kipigo kipo. Tena kipo kweli kweli.
Simba ikishinda nipigwe BAN YA SIKU 3. Najua hilo la Simba kushinda halipo. Wakijitahidi sana ni kutoa Draw. Hapo wamejitahidi sana. Watu wameenda mpaka visiwani huko kutafuta ushindi tena leo ijumaa majini yapo active sana na yamepewa damu... Sioni Mikia kushinda. Sioni
Asalamaleko.
Wanaotikisa kiberitiHii iwe funzo kwa wengine
Tuipambanie mpaka kimlambeKuna kiumbe mwingine akiomba ban tuipambanie
Ati niniBado yule mkuu wa mkoa mwenye kichwa kama tenga la bata