Simba iliachana na Dejan, Yanga wasione aibu kuachana na Aziz Ki

Simba iliachana na Dejan, Yanga wasione aibu kuachana na Aziz Ki

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Simba walipoona wamepigwa walitumia mbinu za kivita kumpa 'frustrations' yule Dejan mpaka yeye mwenyewe akasepa bila kuiingiza timu gharama.

Sasa Yanga kwa kule kupigwa 500m za usajili wasikubali kuendelea kupigwa 20m za mshahara. Jamaa anarukaruka tu uwanjani. Anzeni kazi hapo angalau muokoe kidogo.
 
Hui ubavu hawana luc eymael aliewaita manyani mambwa wana bweka bweka hovyo anawadai mil 345.

Huyo fungo ya bandia atawaua kabisa hawa kima
 
Simba walipoona wamepigwa walitumia mbinu za kivita kumpa 'frustrations' yule Dejan mpaka yeye mwenyewe akasepa bila kuiingiza timu gharama.

Sasa Yanga kwa kule kupigwa 500m za usajili wasikubali kuendelea kupigwa 20m za mshahara. Jamaa anarukaruka tu uwanjani. Anzeni kazi hapo angalau muokoe kidogo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] siasa za mpira wakaingia choo Cha kike
 
Hui ubavu hawana luc eymael aliewaita manyani mambwa wana bweka bweka hovyo anawadai mil 345
Huyo fungo ya bandia atawaua kabisa hawa kima
Wanapigwa hela mara mbili
 
Asisumbuliwe analala kwanza.
IMG-20221018-WA0001.jpg
 
Simba walipoona wamepigwa walitumia mbinu za kivita kumpa 'frustrations' yule Dejan mpaka yeye mwenyewe akasepa bila kuiingiza timu gharama.

Sasa Yanga kwa kule kupigwa 500m za usajili wasikubali kuendelea kupigwa 20m za mshahara. Jamaa anarukaruka tu uwanjani. Anzeni kazi hapo angalau muokoe kidogo.
Pilipili usiyoila yakuwashia nini!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom