Simba iliachana na Dejan, Yanga wasione aibu kuachana na Aziz Ki

Simba iliachana na Dejan, Yanga wasione aibu kuachana na Aziz Ki

Binafsi naamini Ki ni mchezaji mzuri, labda kocha ndio anashindwa kumtumia
 
Simba walipoona wamepigwa walitumia mbinu za kivita kumpa 'frustrations' yule Dejan mpaka yeye mwenyewe akasepa bila kuiingiza timu gharama.

Sasa Yanga kwa kule kupigwa 500m za usajili wasikubali kuendelea kupigwa 20m za mshahara. Jamaa anarukaruka tu uwanjani. Anzeni kazi hapo angalau muokoe kidogo.
Wewe ni msenge
 
Simba walipoona wamepigwa walitumia mbinu za kivita kumpa 'frustrations' yule Dejan mpaka yeye mwenyewe akasepa bila kuiingiza timu gharama.

Sasa Yanga kwa kule kupigwa 500m za usajili wasikubali kuendelea kupigwa 20m za mshahara. Jamaa anarukaruka tu uwanjani. Anzeni kazi hapo angalau muokoe kidogo.
"....na hili nalo kalitizameni kwa ukaribu zaidi..."
 
Simba walipoona wamepigwa walitumia mbinu za kivita kumpa 'frustrations' yule Dejan mpaka yeye mwenyewe akasepa bila kuiingiza timu gharama.

Sasa Yanga kwa kule kupigwa 500m za usajili wasikubali kuendelea kupigwa 20m za mshahara. Jamaa anarukaruka tu uwanjani. Anzeni kazi hapo angalau muokoe kidogo.
Ugali moto , mboga moto, maji ya kunywa moto , sahani moto

😤😤😤
 
Simba walipoona wamepigwa walitumia mbinu za kivita kumpa 'frustrations' yule Dejan mpaka yeye mwenyewe akasepa bila kuiingiza timu gharama.

Sasa Yanga kwa kule kupigwa 500m za usajili wasikubali kuendelea kupigwa 20m za mshahara. Jamaa anarukaruka tu uwanjani. Anzeni kazi hapo angalau muokoe kidogo.
Ugali moto , mboga moto, maji ya kunywa moto , sahani moto

😤😤😤
Basi Aziza naye apelekewe moto.
bora apelekew moto tu
 
Back
Top Bottom