Simba ilishawahi kucheza Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika

Simba ilishawahi kucheza Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Katoka fuatilia yangu ya hivi karibuni, nimegundua historia fulani ya mafanikio ya Simba ama imesahaulika au inafichwa kwa maksudi.

Wengi wamejikita kwenye mafanikio ya mfululizo ya kufika robo fainali katika mashindano ya klabu bingwa na yale ya shirikisho na wengine hado wanafikia kukejeli mafanikio hayo.

Ila ningependa kukumbusha tu, Simba mwaka 1974 walifika hatua ya nusu fainali katika kombe la klabu bingwa Afrika wakiwa na wachezaji kama Omar Mahadhi na Abbas Dilunga.

images - 2023-04-06T164311.748.jpeg


20230406_164345.jpg

Picha mbili za juu ni kikosi cha Simba cha 1974 kilichofika nusu fainali ya kombe la klabu bingwa Afrika.

Nimeona hata admin wa mitandao ya kijamii wa CAF juzi juzi hapa alikosea katika taarifa yake.

20230406_163450.jpg


Ni muhimu kuweka hizi rekodi sawa. Juzi hapa kuna mtu alikuwa anaongea shiti kuhusu CAF Cup ambayo Simba alifika fainali, nilipomwambia kwa uthibitisho kuwa Yanga alishiriki mara mbili mashindano hayo na hakuvuka hata round ya kwanza amekimbilia kijijini kwao kwa aibu.
 
Ni kweli kaka alicheza Nusu fainali na Ghazl mehalla ya Misri.

Matokeo ni kuwa simba alishinda moja bila hapa nyumbani mna alipoenda misri alifungwa moja bila hivyo zikapihwa penalt na zimba kutolewa kwa penalt tatu kwa sifuri.

Kazi yako ya kuelimisha umma umemaliza anaebisha mwache abishe.
 
Hv mmeshindwa kupambana Hadi inafikia kua wafukunyungu hvoo,
Hii story kavu kabisa hakuna hio historia ni tiamajitiamaji.

Cheza na huyo mwmba utoboe nasio kujihami kiihivo. Ulikua wapi siku zotee hzoo.
 
Hv mmeshindwa kupambana Hadi inafikia kua wafukunyungu hvoo,
Hii story kavu kabisa hakuna hio historia ni tiamajitiamaji.

Cheza na huyo mwmba utoboe nasio kujihami kiihivo. Ulikua wapi siku zotee hzoo.
Anamwofia Yanga anaenda FUTA historia zote
 
Katoka fuatilia yangu ya hivi karibuni, nimegundua historia fulani ya mafanikio ya Simba ama imesahaulika au inafichwa kwa maksudi.

Wengi wamejikita kwenye mafanikio ya mfululizo ya kufika robo fainali katika mashindano ya klabu bingwa na yale ya shirikisho na wengine hado wanafikia kukejeli mafanikio hayo.

Ila ningependa kukumbusha tu, Simba mwaka 1974 walifika hatua ya nusu fainali katika kombe la klabu bingwa Afrika wakiwa na wachezaji kama Omar Mahadhi na Abbas Dilunga.

View attachment 2578537

View attachment 2578538
Picha mbili za juu ni kikosi cha Simba cha 1974 kilichofika nusu fainali ya kombe la klabu bingwa Afrika.

Nimeona hata admin wa mitandao ya kijamii wa CAF juzi juzi hapa alikosea katika taarifa yake.

View attachment 2578531

Ni muhimu kuweka hizi rekodi sawa. Juzi hapa kuna mtu alikuwa anaongea shiti kuhusu CAF Cup ambayo Simba alifika fainali, nilipomwambia kwa uthibitisho kuwa Yanga alishiriki mara mbili mashindano hayo na hakuvuka hata round ya kwanza amekimbilia kijijini kwao kwa aibu.
Ni kombe la washindi jamaniii
 
Katoka fuatilia yangu ya hivi karibuni, nimegundua historia fulani ya mafanikio ya Simba ama imesahaulika au inafichwa kwa maksudi.

Wengi wamejikita kwenye mafanikio ya mfululizo ya kufika robo fainali katika mashindano ya klabu bingwa na yale ya shirikisho na wengine hado wanafikia kukejeli mafanikio hayo.

Ila ningependa kukumbusha tu, Simba mwaka 1974 walifika hatua ya nusu fainali katika kombe la klabu bingwa Afrika wakiwa na wachezaji kama Omar Mahadhi na Abbas Dilunga.

View attachment 2578537

View attachment 2578538
Picha mbili za juu ni kikosi cha Simba cha 1974 kilichofika nusu fainali ya kombe la klabu bingwa Afrika.

Nimeona hata admin wa mitandao ya kijamii wa CAF juzi juzi hapa alikosea katika taarifa yake.

View attachment 2578531

Ni muhimu kuweka hizi rekodi sawa. Juzi hapa kuna mtu alikuwa anaongea shiti kuhusu CAF Cup ambayo Simba alifika fainali, nilipomwambia kwa uthibitisho kuwa Yanga alishiriki mara mbili mashindano hayo na hakuvuka hata round ya kwanza amekimbilia kijijini kwao kwa aibu.
Haya maneno CAF wamemaanisha nini? Tanzania giants Simba SC Tanzania seek to record a first ever total energies CAFCL semi final appearance
 
Katoka fuatilia yangu ya hivi karibuni, nimegundua historia fulani ya mafanikio ya Simba ama imesahaulika au inafichwa kwa maksudi.

Wengi wamejikita kwenye mafanikio ya mfululizo ya kufika robo fainali katika mashindano ya klabu bingwa na yale ya shirikisho na wengine hado wanafikia kukejeli mafanikio hayo.

Ila ningependa kukumbusha tu, Simba mwaka 1974 walifika hatua ya nusu fainali katika kombe la klabu bingwa Afrika wakiwa na wachezaji kama Omar Mahadhi na Abbas Dilunga.

View attachment 2578537

View attachment 2578538
Picha mbili za juu ni kikosi cha Simba cha 1974 kilichofika nusu fainali ya kombe la klabu bingwa Afrika.

Nimeona hata admin wa mitandao ya kijamii wa CAF juzi juzi hapa alikosea katika taarifa yake.

View attachment 2578531

Ni muhimu kuweka hizi rekodi sawa. Juzi hapa kuna mtu alikuwa anaongea shiti kuhusu CAF Cup ambayo Simba alifika fainali, nilipomwambia kwa uthibitisho kuwa Yanga alishiriki mara mbili mashindano hayo na hakuvuka hata round ya kwanza amekimbilia kijijini kwao kwa aibu.
No, Mahadhi hakuwa amejiunga na Simba kipindi hicho, kipa wa Simba wakati huo alikuwa ni Athumani Mambosasa (Rip).

Simba walitolewa katika mashindano hayo na Ghazil Mehallah, El Mehallah El Khubra ya Misri katika ngazi ya nusu fainali kwa penalti 3-1 baada ya matokeo ya jumla kuwa 1-1 kwa mechi zote mbili.

Kwenye mchezo wa marudiano huko Mehallah Misri, mlinda mlango wa Simba Athumani Mambosasa alinyang'anywa "Hirizi" na mashabiki wa Mehallah waliovamia uwanja na mara tu baada ya tukio hilo ndipo Mehallah walipata bao lililofungwa na mshambuliaji wao hatari Abdallah Amasha.
 
Katoka fuatilia yangu ya hivi karibuni, nimegundua historia fulani ya mafanikio ya Simba ama imesahaulika au inafichwa kwa maksudi.

Wengi wamejikita kwenye mafanikio ya mfululizo ya kufika robo fainali katika mashindano ya klabu bingwa na yale ya shirikisho na wengine hado wanafikia kukejeli mafanikio hayo.

Ila ningependa kukumbusha tu, Simba mwaka 1974 walifika hatua ya nusu fainali katika kombe la klabu bingwa Afrika wakiwa na wachezaji kama Omar Mahadhi na Abbas Dilunga.

View attachment 2578537

View attachment 2578538
Picha mbili za juu ni kikosi cha Simba cha 1974 kilichofika nusu fainali ya kombe la klabu bingwa Afrika.

Nimeona hata admin wa mitandao ya kijamii wa CAF juzi juzi hapa alikosea katika taarifa yake.

View attachment 2578531

Ni muhimu kuweka hizi rekodi sawa. Juzi hapa kuna mtu alikuwa anaongea shiti kuhusu CAF Cup ambayo Simba alifika fainali, nilipomwambia kwa uthibitisho kuwa Yanga alishiriki mara mbili mashindano hayo na hakuvuka hata round ya kwanza amekimbilia kijijini kwao kwa aibu.

 
Back
Top Bottom