Simba ilishawahi kucheza Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika

Simba ilishawahi kucheza Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika

nijuacho kuna timu ilikuwa inaitwa simba ya huko uganda ndiyo ilifika semi kipindi hicho
 
Unadhani Simba ni utopolo kitu kidogo tu - record!!Hata hii hatua ingekuwa utopolo wameingia mara mbili tu kelele zake watu wasingekunywa maji

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hakuna watu wanaongoza kwa mdomo humu jukwaani na mitandao mingine kama makolo. Yan kufika tu robo fainali mlitusumbua sana eti rekodi halafu saivi unasema nini wewe?
 
Hakuna watu wanaongoza kwa mdomo humu jukwaani na mitandao mingine kama makolo. Yan kufika tu robo fainali mlitusumbua sana eti rekodi halafu saivi unasema nini wewe?
Sasa wewe hiyo robo umefika?????si umefurushwa hatua za awali na al hilal huko wakakosokomezea kwenye LUZAZ KAPU??????mbona hamna aibu kujifananiaha na asiyefanana nanyi....
 
Nimeshangazwa na UKIMYA wa VIONGOZI wa YANGA wa kutomwambia KOCHA wao NABI kuwa KLABU ya SIMBA haya yote YANGA inayohangaika Kuingia NUSU FAINALI Kombe la SHIRIKISHO Klabu ya SIMBA ilicheza FAINAL na Klabu toka Ivory Coast ikiitwa Stella na Mwaka 1993 .Pia SIMBA ilishacheza NUSU FAINAL na Klabu kutoka MISRI ikiitwa Mehara mwaka 1974.
Ni VEMA Kocha NABI akaambiwa Ukweli asidhani ETI Yeye ndio wa Kuifundisha SIMBA kuingia NUSU FAINAL bali awe wa Kwanza Kuipeleka YANGA Nusu Fainali na sio SIMBA .VIONGOZI wa YANGA msione AIBU kumwambia UKWELI yeye na WATENDAJI wengine kwani Wanaifananisha YANGA na SIMBA kitu ambacho HAKIPO
kwani REKODI zilizowekwa na KLABU ya SIMBA ni ngumu sana KUZIVUNJA kwa KLABU ya YANGA.
Screenshot_20230429-225339_Chrome.jpg
Screenshot_20230429-224949_Chrome.jpg
edgarkibwana_1682831486039398.jpg
 
Hizi nadharia zimenza juzi juzi baada ya kuona mnaelekea kutokea Robo kama kawaida yenu na Yanga anasonga mbele..Mkanza kujazwa Upepo na kale ka dogo ka Morogoro eti mshacheza fainali Facken you all #CHIZI..
Mbona hapo awali mlikua hamujivunii hii rekodi au mlikua hamuijui na kama hamuijui imetokea wapi?
Acheni kujionyesha Ujinga wenu.
#🦁CHIZI
 
Nimeshangazwa na UKIMYA wa VIONGOZI wa YANGA wa kutomwambia KOCHA wao NABI kuwa KLABU ya SIMBA haya yote YANGA inayohangaika Kuingia NUSU FAINALI Kombe la SHIRIKISHO Klabu ya SIMBA ilicheza FAINAL na Klabu toka Ivory Coast ikiitwa Stella na Mwaka 1993 .Pia SIMBA ilishacheza NUSU FAINAL na Klabu kutoka MISRI ikiitwa Mehara mwaka 1974.
Ni VEMA Kocha NABI akaambiwa Ukweli asidhani ETI Yeye ndio wa Kuifundisha SIMBA kuingia NUSU FAINAL bali awe wa Kwanza Kuipeleka YANGA Nusu Fainali na sio SIMBA .VIONGOZI wa YANGA msione AIBU kumwambia UKWELI yeye na WATENDAJI wengine kwani Wanaifananisha YANGA na SIMBA kitu ambacho HAKIPO
kwani REKODI zilizowekwa na KLABU ya SIMBA ni ngumu sana KUZIVUNJA kwa KLABU ya YANGA.View attachment 2604911View attachment 2604912View attachment 2604914
Maswala ya Yanga FC hayakuhusu lakini unawashwa washwa.

Eleza sababu kuu 1 tu kwanini akili zako hazina akili?
 
Simba hakuwahi kucheza nusu fainali wala fainali ya shirikisho. Ila hilo la klabu bingwa upo sahihi ni kweli aliwahi fika nusu fainali mwaka 1974.
Lakini kwanini tutumie record ya zamani wakati tunaishi sasa?
Tunahitaji record ya kipindi hiki ya sasa haina maana, hata Ac Milan waliwahi kuwa mabingwa wa champions league mwaka 2007 ila kwasasa hakuna anayeiona timu ya maana kwavile hawana ubavu tena wa kubeba mataji sembuse timu iliyoishia nusu fainali tena miaka ya 70
 
Simba hakuwahi kucheza nusu fainali wala fainali ya shirikisho. Ila hilo la klabu bingwa upo sahihi ni kweli aliwahi fika nusu fainali mwaka 1974.
Lakini kwanini tutumie record ya zamani wakati tunaishi sasa?
Tunahitaji record ya kipindi hiki ya sasa haina maana, hata Ac Milan waliwahi kuwa mabingwa wa champions league mwaka 2007 ila kwasasa hakuna anayeiona timu ya maana kwavile hawana ubavu tena wa kubeba mataji sembuse timu iliyoishia nusu fainali tena miaka ya 70
MPIRA NI HISTORIA USIJITOE FAHAMU KWANI PELE MARADONA WANATAJWA LEO
SIMBA KACHEZA FAINAL KOMBE LA SHIRIKISHO MWAKA 1993 NA TUMU YA IVORY COAST LABDA ULIKUWA HUJAZALIWA AU HUUJUI MPIRA
Screenshot_20230429-225339_Chrome.jpg
 
Hizi nadharia zimenza juzi juzi baada ya kuona mnaelekea kutokea Robo kama kawaida yenu na Yanga anasonga mbele..Mkanza kujazwa Upepo na kale ka dogo ka Morogoro eti mshacheza fainali Facken you all #CHIZI..
Mbona hapo awali mlikua hamujivunii hii rekodi au mlikua hamuijui na kama hamuijui imetokea wapi?
Acheni kujionyesha Ujinga wenu.
#[emoji881]CHIZI
Tatizo YANGA mnajitoa UFAHAMU rekodi za SIMBA NI NGUMU SANA kwa YANGA kuzifikia SIMBA TIMU KUBWA
 
MPIRA NI HISTORIA USIJITOE FAHAMU KWANI PELE MARADONA WANATAJWA LEO
SIMBA KACHEZA FAINAL KOMBE LA SHIRIKISHO MWAKA 1993 NA TUMU YA IVORY COAST LABDA ULIKUWA HUJAZALIWA AU HUUJUI MPIRA View attachment 2604951
Ndivyo mnavyodanganyana kuwa CAF cup ndio shirikisho? Haya niambie je huyo mshindi aliyechukua kombe mbele ya Simba alicheza na nani kwenye CAF super cup kama ndiyo ilikuwa ni kombe la shirikisho?

Muwe mnafatilia kwanza mambo sio kuongopeana tu, kombe la shirikisho lilikuwa zamani linaitwa Africa cup winner's cup na mwaka 1993 bingwa alikuwa ni Al Ahly. Kwenye CAF super cup ya ufunguzi wa mashindano ya CAF msimu wa 1994 ikachezwa kati ya bingwa wa shirikisho vs bingwa wa klabu bingwa ambapo ilikuwa ni mechi ya Al Ahly vs Zamalek.
 
Katoka fuatilia yangu ya hivi karibuni, nimegundua historia fulani ya mafanikio ya Simba ama imesahaulika au inafichwa kwa maksudi.

Wengi wamejikita kwenye mafanikio ya mfululizo ya kufika robo fainali katika mashindano ya klabu bingwa na yale ya shirikisho na wengine hado wanafikia kukejeli mafanikio hayo.

Ila ningependa kukumbusha tu, Simba mwaka 1974 walifika hatua ya nusu fainali katika kombe la klabu bingwa Afrika wakiwa na wachezaji kama Omar Mahadhi na Abbas Dilunga.

View attachment 2578537

View attachment 2578538
Picha mbili za juu ni kikosi cha Simba cha 1974 kilichofika nusu fainali ya kombe la klabu bingwa Afrika.

Nimeona hata admin wa mitandao ya kijamii wa CAF juzi juzi hapa alikosea katika taarifa yake.

View attachment 2578531

Ni muhimu kuweka hizi rekodi sawa. Juzi hapa kuna mtu alikuwa anaongea shiti kuhusu CAF Cup ambayo Simba alifika fainali, nilipomwambia kwa uthibitisho kuwa Yanga alishiriki mara mbili mashindano hayo na hakuvuka hata round ya kwanza amekimbilia kijijini kwao kwa aibu.
tutolee huu ujinga hapa...
 
tutolee huu ujinga hapa...
Wale walioangalia gemu ya juzi ya Simba vs Wydad kupitia DSTV watakuwa walisikia wakati mpira unaendelea mtangazaji akisema hili nililosema katika uzi huu.

Unless umezaliwa majuzi au umeanza kufuatilia mpira hivi karibuni, haya ni mambo ambayo yamekuwa yanajulikana miaka yote ndiyo maana wajuvi wa mambo tunabaki tunawashangaa tu.
 
Ndivyo mnavyodanganyana kuwa CAF cup ndio shirikisho? Haya niambie je huyo mshindi aliyechukua kombe mbele ya Simba alicheza na nani kwenye CAF super cup kama ndiyo ilikuwa ni kombe la shirikisho?

Muwe mnafatilia kwanza mambo sio kuongopeana tu, kombe la shirikisho lilikuwa zamani linaitwa Africa cup winner's cup na mwaka 1993 bingwa alikuwa ni Al Ahly. Kwenye CAF super cup ya ufunguzi wa mashindano ya CAF msimu wa 1994 ikachezwa kati ya bingwa wa shirikisho vs bingwa wa klabu bingwa ambapo ilikuwa ni mechi ya Al Ahly vs Zamalek.
Walishiriki ile kombe ya mnajeria wao wanasema la caf ukiwa uliza ni lipi hawatoi majibu ya kueleweka
 
Back
Top Bottom