Simba imebadilika sana, kumchezesha kipa namba 3 kwa waarabu nyumbani kwao ni ujasiri mkubwa

Simba imebadilika sana, kumchezesha kipa namba 3 kwa waarabu nyumbani kwao ni ujasiri mkubwa

Nimeangalia gemu ya Simba vs Al Hilal na nimebaini yafuatayo.

1. Simba ina uwezo kwa sasa kucheza na timu yoyote duniani bila kumtegemea Manula wala Benno, hili jambi Utopolo hawawezi kuthubutu
2. Pamoja na shutuma, matusi na kebehi kwa uongozi wa Simba kuhusu usajili, Simba wamewekeza sana kwenye pitch kuliko nje ya uwanja kama utopolo
3.Kikosi kilichocheza na Al Hilal kilitushtua wengi, lakini kimedhihirisha kuwa mpira ni mbinu na mfumo.
4.Katika modern football sio lazima uwe na viungo wakabaji ndio ucheze vizuri, Kocha wa Simba amethibitisha hilo.
5.Modern football inataka mchezaji awe na uwezo wa kucheza namba yoyote uwanjani, Zoran Mack ametuonyesha Leo kwa Peter Banda, Chama na Mwinuke
6.Zoran Mack ametuonyesha namna gemu za ugenini zinavyopaswa kuchezwa kwa adabu, Al Hilal ya Ibenge sio ya kawaida kama tunavyodhani
7.Kama Simba imecheza na wachezaji kama Salim, Mwinuke, Gadiel, Israel, Kapama ambao hawapo first eleven, itakuwaje kikosi kikikamilika
8.Kwa namna Simba wanavyosambaza upendo uwanjani kwa pasi milioni 1, nimeamini wanapocheza na utopolo kuna hujuma zinafanywa na watu ndani ya timu yetu ili tupoteze.
9.Simba ikipata striker wa maana hakuna wa kupata sare
10.Simba hii ikishinda nyumbani bao 3 0 na ugenini ikacheza hivi kama ilivyocheza Leo na Al Hilal, am sure inakwenda kucheza final
11.Simba nguvu moja, wale wanaotaka madaraka katika uongozi wasubiri kwanza, kuuza gemu kwa utopolo ni ufala wa kiwango cha chuo kikuu
12.Simba msisikilize waandishi wa michongo, tuendelee kuleta heshima katika nchi hii kwani utopolo kuhangaika kwao kutaishia kwa Al Hilal

NB Hongera sana Zoran Mack, Bila Kanoute wala Mkude wala Akpa lkn shughuli imeonekana pale Sudan.

IMG-20220901-WA0013.jpg
 
Nimeangalia gemu ya Simba vs Al Hilal na nimebaini yafuatayo.

1. Simba ina uwezo kwa sasa kucheza na timu yoyote duniani bila kumtegemea Manula wala Benno, hili jambi Utopolo hawawezi kuthubutu
2. Pamoja na shutuma, matusi na kebehi kwa uongozi wa Simba kuhusu usajili, Simba wamewekeza sana kwenye pitch kuliko nje ya uwanja kama utopolo
3.Kikosi kilichocheza na Al Hilal kilitushtua wengi, lakini kimedhihirisha kuwa mpira ni mbinu na mfumo.
4.Katika modern football sio lazima uwe na viungo wakabaji ndio ucheze vizuri, Kocha wa Simba amethibitisha hilo.
5.Modern football inataka mchezaji awe na uwezo wa kucheza namba yoyote uwanjani, Zoran Mack ametuonyesha Leo kwa Peter Banda, Chama na Mwinuke
6.Zoran Mack ametuonyesha namna gemu za ugenini zinavyopaswa kuchezwa kwa adabu, Al Hilal ya Ibenge sio ya kawaida kama tunavyodhani
7.Kama Simba imecheza na wachezaji kama Salim, Mwinuke, Gadiel, Israel, Kapama ambao hawapo first eleven, itakuwaje kikosi kikikamilika
8.Kwa namna Simba wanavyosambaza upendo uwanjani kwa pasi milioni 1, nimeamini wanapocheza na utopolo kuna hujuma zinafanywa na watu ndani ya timu yetu ili tupoteze.
9.Simba ikipata striker wa maana hakuna wa kupata sare
10.Simba hii ikishinda nyumbani bao 3 0 na ugenini ikacheza hivi kama ilivyocheza Leo na Al Hilal, am sure inakwenda kucheza final
11.Simba nguvu moja, wale wanaotaka madaraka katika uongozi wasubiri kwanza, kuuza gemu kwa utopolo ni ufala wa kiwango cha chuo kikuu
12.Simba msisikilize waandishi wa michongo, tuendelee kuleta heshima katika nchi hii kwani utopolo kuhangaika kwao kutaishia kwa Al Hilal

NB Hongera sana Zoran Mack, Bila Kanoute wala Mkude wala Akpa lkn shughuli imeonekana pale Sudan.
Bonanza hilo, mchezesheni kwenye ligi au michuano ya CAF.
 
Mi nashangaa watu wanalaumu wakati wale wachezaji 90% ni wakukaa bench hawajawahi kucheza mechi ya pamoja hata moja jana ndo mara ya kwanza ila mashabiki wanavyo lalamika ni kama imeanza first eleven yote vile.
Ni kweli. Ila kwa Dejan tutafakari kwa kina.
 
Nimeangalia gemu ya Simba vs Al Hilal na nimebaini yafuatayo.

1. Simba ina uwezo kwa sasa kucheza na timu yoyote duniani bila kumtegemea Manula wala Benno, hili jambi Utopolo hawawezi kuthubutu
2. Pamoja na shutuma, matusi na kebehi kwa uongozi wa Simba kuhusu usajili, Simba wamewekeza sana kwenye pitch kuliko nje ya uwanja kama utopolo
3.Kikosi kilichocheza na Al Hilal kilitushtua wengi, lakini kimedhihirisha kuwa mpira ni mbinu na mfumo.
4.Katika modern football sio lazima uwe na viungo wakabaji ndio ucheze vizuri, Kocha wa Simba amethibitisha hilo.
5.Modern football inataka mchezaji awe na uwezo wa kucheza namba yoyote uwanjani, Zoran Mack ametuonyesha Leo kwa Peter Banda, Chama na Mwinuke
6.Zoran Mack ametuonyesha namna gemu za ugenini zinavyopaswa kuchezwa kwa adabu, Al Hilal ya Ibenge sio ya kawaida kama tunavyodhani
7.Kama Simba imecheza na wachezaji kama Salim, Mwinuke, Gadiel, Israel, Kapama ambao hawapo first eleven, itakuwaje kikosi kikikamilika
8.Kwa namna Simba wanavyosambaza upendo uwanjani kwa pasi milioni 1, nimeamini wanapocheza na utopolo kuna hujuma zinafanywa na watu ndani ya timu yetu ili tupoteze.
9.Simba ikipata striker wa maana hakuna wa kupata sare
10.Simba hii ikishinda nyumbani bao 3 0 na ugenini ikacheza hivi kama ilivyocheza Leo na Al Hilal, am sure inakwenda kucheza final
11.Simba nguvu moja, wale wanaotaka madaraka katika uongozi wasubiri kwanza, kuuza gemu kwa utopolo ni ufala wa kiwango cha chuo kikuu
12.Simba msisikilize waandishi wa michongo, tuendelee kuleta heshima katika nchi hii kwani utopolo kuhangaika kwao kutaishia kwa Al Hilal

NB Hongera sana Zoran Mack, Bila Kanoute wala Mkude wala Akpa lkn shughuli imeonekana pale Sudan.
Haya mmemchezesha no3 mkaambulia nini?mbona mnamlaumu mdhunguuu thatha🤸🤸🤸.Kubalini uwezo mdogo acheni kumsingizia mdhunguuu 🤔
 
Mi nashangaa watu wanalaumu wakati wale wachezaji 90% ni wakukaa bench hawajawahi kucheza mechi ya pamoja hata moja jana ndo mara ya kwanza ila mashabiki wanavyo lalamika ni kama imeanza first eleven yote vile.
Nabado mikia fc mtakipata Cha moto🏃🏃
 
Nabado mikia fc mtakipata Cha moto[emoji125][emoji125]
Tutakipata nini sasa kipa kacheza namba tatu kiungo mkabaji chama halafu unategemea matokea utopolo ndo wanahangaika kupondo ila simba hyo ni kawaida endeleeni kula mihogo coco beach.
 
Yote kwa Yote Zoran ni kocha wa mbinu na anabadilika badilika

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Si ndo hapo mkuu ww unajua mpira kuna kocha wa mbinu na kocha wa mfumo mmoja kwa mfano uchebe yeye alikuwa awe ugenini au nyumbani anafunguka tu ndo maana alikuwa anapigwa 5 kule kwa warabu alipokuja kishingo na pablo walikuwa wanacheza kimbinu team lazima iwe na balance hyo ndo inayomfelisha Guardiola kwenye champions league wakati klopp akimuacha mbali kila msimu kwenye UEFA champions league zoran anacheza kutokana na mpinzani sio mda wote unafungua turbo tu kama uchebe.
 
Nakubaliana na hoja kuwa Simba imeimarika sana.
Nakuona hamnazo kuanza kuteta mambo ya uongozi, kama wewe ni kiongozi, basi fanya kazi yako, acha porojo.

Ni ukweli ulio wazi ambao hata utopolo wanajua kuwa "Simba ilicheza bila wachezaji wake wa first 11 watano au zaidi, na bado ikaipa tabu kubwa tu Al-Hilal kwenye uwanja wake wa nyumbani.
 
Back
Top Bottom