themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
Mtu kama Bocco kwa sasa hakosi miaka 37-38, Onyango yule ni 40-42, pale kuna wazee kibao na soka la kimataifa linahitaji wachezaji wenye spidi na damu changa.
Timu imekuwa ikivizia wazee wanaomaliza mkataba na kuvizia sign za bure, kwa ambae anategemea msimu huu Caf tutapata matokeo mazuri nipo nimekaa pale.
Timu imekuwa ikivizia wazee wanaomaliza mkataba na kuvizia sign za bure, kwa ambae anategemea msimu huu Caf tutapata matokeo mazuri nipo nimekaa pale.