Yaani hili kubwa zima lipo ligi daraja la nne?TUJIKUMBUSHE KIDOGO.
Kwa mujibu wa kanuni ya 62 ya TFF ya mwaka 2022/23, mchezaji wa kigeni kutoka Amerika ya kusini lazima awe amecheza Angalau ligi kuu au ligi daraja la 1,2 na 3, au timu ya taifa.
Jafferson katoka daraja la 4, je TFF imebadili kanuni zake au hii imekaaje kikanuni?
View attachment 2697313
hapana ligi ya brazili ni tofauti sana hio daraja la 4 ni sawa na daraja la kwanza tanzaniaTUJIKUMBUSHE KIDOGO.
Kwa mujibu wa kanuni ya 62 ya TFF ya mwaka 2022/23, mchezaji wa kigeni kutoka Amerika ya kusini lazima awe amecheza Angalau ligi kuu au ligi daraja la 1,2 na 3, au timu ya taifa.
Jafferson katoka daraja la 4, je TFF imebadili kanuni zake au hii imekaaje kikanuni?
View attachment 2697313
Huo msitali nilipogigia rangi ni utetenzi mbovu wenye kutawaliwa na kukosa self confidence pamoja na inferiority complex. Msitali wa kwanza ulikuwa unatosha kupeleka jibu lako.Hakuna kanuni kama hiyo.
Daraja la nne Brazil ni sawa tu au hata zaidi ya ligi kuu Bongo
Wakati unamtuhumu uongo ungeleta ukweliUONGO NI TABIA YA KISHETANI.
USIWE UNAONGEA UONGO UTAHUKUMIWA NA MUNGU.
Unafaidika nini kuongea uongo????
Aishi majeruhi.Vp hatma ya Aishi manula au ndo ajiandae na benchi?
Bangala ana mkataba na Yanga hamuendi kumubeba kama chilundaMimi ni Mpenzi WA Simba.
Kuna Makosa mengi kwenye USAJILI WA Simba kiufundi.
1. Binafsi sijawahi kuwa na Imani na wachezaji wa Nje ya Africa wanaokuja kucheza AFRIKA.
Mfano.
.Thairone Santos.
.Silver.
.Flaga.
DEJAN
Sijajua kwanini Simba WANAFANYA Hivi, INAWEZEKANA wanaiga VILABU VIKUBWA AFRIKA kama MAMelody.
PUNGUZENI WINGA Mmuongeze Bangala kama kiungo na Beki.
2. MANURA ATARUDI si Muda Mrefu.
Gharama walizoingia kwa huyo KIPA mala mia wangembakisha kakolanya.
Otherwise mashindano ni mengi kiungo na Beki hazitoshi.
Utopolo ktk ubora,huo mkataba anautumikia wap?Bangala ana mkataba na Yanga hamuendi kumubeba kama chilunda
Wenye mkataba na Yanga walitambulishwa jana.Bangala ana mkataba na Yanga hamuendi kumubeba kama chilunda
Daraja la Nne Brazil kwa Tanzania ni Ligi Kuu kabisa hiyo Mkuu. Ukibisha utakuwa na Ubongo wenye Kamasi nyingi na zilizoshindikana.TUJIKUMBUSHE KIDOGO.
Kwa mujibu wa kanuni ya 62 ya TFF ya mwaka 2022/23, mchezaji wa kigeni kutoka Amerika ya kusini lazima awe amecheza Angalau ligi kuu au ligi daraja la 1,2 na 3, au timu ya taifa.
Jafferson katoka daraja la 4, je TFF imebadili kanuni zake au hii imekaaje kikanuni?
View attachment 2697313