kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kinyota Simba jana ilitakiwa kufungwa na Mwadui, penalti imewaokoa. Safari yao ya kuelekea kuendelea kubaki mchangani ndiyo imeanzia pale. Kisingizio ni kuumia kwa Bocco na kukosekana kwa Mkude tu jana, wanasahau kuwa hata Yanga imewakosa Ngoma, Kamusoko, Tabwe, Chirwa kwa muda mrefu lakini hailalamiki sana.
Semen wote Amen.
Semen wote Amen.