Simba imesonga mbele baada kuifunga Gendarmerie goli 1 kwa bila

Simba imesonga mbele baada kuifunga Gendarmerie goli 1 kwa bila

Kwa jinsi nilivosearch mtandaoni, nimegundua kuwa mechi ya gendarmerie vs Simba haitoonyeshwa na channel yoyote ile iwe Tanzania au Djibouti.

Hii inatokana na nchi mwenyeji kuwa na muamko hafifu wa mchezo wa soka na pia hawana technology ya kutosha kuweza kurusha mechi hii. Kwa mfano hiyo channel ya taifa iitwayo RTD tv ambayo ndo ilikuwa tegemeo kubwa la wadau wengi kuwa wangerusha hii gemu ni ya hovyo sana bora hata TBC 1.

Hivyo wadau tufuatilie tu matokeo kupitia live scores tu, kuhusu mdau aliesema tusubiri ABOOD tv pia atakuwa amefeli kwa sababu na wao wanategemea wapate mawasiliano kutoka channel za Djibouti.

Ni hayo tu wadau wa sports..
Kuna wanasimba wapo na timu huko fresh tu wanatuma kinachoendelea kwenye groups kwa whatsapp. Jiunge tawi la Simba Dume Temboni mkuu
 
90'
Green Buffaloes FC
2 - 1
Al Masry Club
half-time:
(1 - 1)
agg 2-5
 
Mnyama kafanya yake
2a0251c5db5d2ebf79e0f1e769755ff9.jpg
 
Kwa jinsi nilivosearch mtandaoni, nimegundua kuwa mechi ya gendarmerie vs Simba haitoonyeshwa na channel yoyote ile iwe Tanzania au Djibouti.

Hii inatokana na nchi mwenyeji kuwa na muamko hafifu wa mchezo wa soka na pia hawana technology ya kutosha kuweza kurusha mechi hii. Kwa mfano hiyo channel ya taifa iitwayo RTD tv ambayo ndo ilikuwa tegemeo kubwa la wadau wengi kuwa wangerusha hii gemu ni ya hovyo sana bora hata TBC 1.

Hivyo wadau tufuatilie tu matokeo kupitia live scores tu, kuhusu mdau aliesema tusubiri ABOOD tv pia atakuwa amefeli kwa sababu na wao wanategemea wapate mawasiliano kutoka channel za Djibouti.

Ni hayo tu wadau wa sports..
Sure and that's what was expected from Djibouti.
 
Back
Top Bottom