Simba imewahi kuchapwa 4-1 na TP Mazembe

We limbukeni unajaza server tu, huo muda wa kuanzisha hizi threads utumie kujitafakari maisha yako binafsi siyo kila muda umechizika na utopolo united yako.

Huwazi lolote wala chochote ni utopolo tupu.

Hata washabiki wenzako wanakuona mjinga tu[emoji706]

This is too much!
 
Naweza kukuajiri .....
 
Naweza kukuajiri .....
Siwezi kuwa na boss "mpumbavu" anayejaza server ujinga badala ya hoja.

Huna tofauti na wanaolazimisha ushoga ukubalike![emoji706]

Unang'ang'ania ujinga badala ya kupokea maarifa. Wanaume hatuko hivyo.

Ushabiki wa Simba na Yanga usikuwehushe. Kaa chini tafakari.
Yaani scroll mbili tatu za thread nakutana na majigambo yasiyo na maana ya kujipiga kifua utopolo united kama vile imeleta kombe la club world cup!
 
Comment ya mtu alietoka kupiga highlife
 
Comment ya mbu mbumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…