Simba ina haki ya kusikilizwa lakini sio kususa mchezo

Simba ina haki ya kusikilizwa lakini sio kususa mchezo

kingphisher

Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
45
Reaction score
79
Yaani mmekuwa na muda wa takribani wiki moja ya kufanya mazoezi na maandalizi yenu yote, mmetumia gharama kubwa sana halafu mnasusa mechi kisa kunyimwa kufanya mazoezi usiku?

Simba mpo sahihi kusikilizwa, lakini si haileti tija kususa mchezo.

Kususa mchezo ni sawa na kujichukulia sheria mkononi.

Nyie mngecheza hafu tff ije itoe adhabu kwa wenyeji wa mchezo.

Kwa akili ya kawaida, timu haijasafiri kutoka nchi nyingine wala mkoa mwingine hadi dar, unadai mnasusa mchezo kisa tu hamjafanya mazoezi kwa siku moja, kwa uchovu ghani hadi mshindwe kucheza mechi kisa hamjafanya mazoezi?

Hapa simaanishi waliochukua maamuzi wa kuwazuia wapo sahihi, hapana. Ni kwamba, taarifa zimeenea mtandaoni, na tff na bodi ya ligi wameona.

Hiyo sio sababu ya kususa mechi, badala yake simba wangecheza then baadaye ndo wafatilie haki zao kwa nini wakatazwe kufanya mazoezi, tff na bodi ya ligi watachukua hatua za kisheria.

Kilichopo ni kwamba, ikitokea simba wamesusa mchezo, yanga wataenda uwanjani na watapewa point tatu na magoli matatu.

Kutokufanya zoezi haiwezi kuwa sababu ya kususia mchezo bhana.
 
KWA AKILI YA KAWAIDA, TIMU HAIJASAFIRI KUTOKA NCHI NYINGINE WALA MKOA MWINGINE HADI DAR, UNADAI MNASUSA MCHEZO KISA TU HAMJAFANYA MAZOEZI KWA SIKU MOJA, KWA UCHOVU GHANI HADI MSHINDWE KUCHEZA MECHI KISA HAMJAFANYA MAZOEZI?
Kwani waliotunga kanuni walikuwa hawajui kama ligi ya NBC inahusisha timu ambazo hazitoki nchi nyingine?
 
Mtu anapoenda kukagua uwanja
Kwanza anakuwa na tahadhari kama uwanja kuna mahali nyasi zimeng'oka
Goli limepinda
Kibu akishinda ataenda kuseleleka wapi
Sasa mtu yupo sahihi kikanuni nyie mm kiambiwa asipite mtu ndo mnagoma tu

Kwanza waelewe kanuni then muwaweke mlangoni wazuie majini ila watu wanatakiwa wapite tu

Tufuate kanuni
 
YAANI MMEKUWA NA MUDA WA TAKRIBANI WIKI MOJA YA KUFANYA MAZOEZI NA MAANDALIZI YENU YOTE, MMETUMIA GHARAMA KUBWA SANA HALAFU MNASUSA MECHI KISA KUNYIMWA KUFANYA MAZOEZI USIKU?
SIMBA MPO SAHIHI KUSIKILIZWA, LAKINI SI HAILETI TIJA KUSUSA MCHEZO.

KUSUSA MCHEZO NI SAWA NA KUJICHUKULIA SHERIA MKONONI.
NYIE MNGECHEZA HAFU TFF IJE ITOE ADHABU KWA WENYEJI WA MCHEZO.

KWA AKILI YA KAWAIDA, TIMU HAIJASAFIRI KUTOKA NCHI NYINGINE WALA MKOA MWINGINE HADI DAR, UNADAI MNASUSA MCHEZO KISA TU HAMJAFANYA MAZOEZI KWA SIKU MOJA, KWA UCHOVU GHANI HADI MSHINDWE KUCHEZA MECHI KISA HAMJAFANYA MAZOEZI?

HAPA SIMAANISHI WALIOCHUKUA MAAMUZI WA KUWAZUIA WAPO SAHIHI, HAPANA. NI KWAMBA, TAARIFA ZIMEENEA MTANDAONI, NA TFF na BODI YA LIGI WAMEONA.
HIYO SIO SABABU YA KUSUSA MECHI, BADALA YAKE SIMBA WANGECHEZA THEN BAADAYE NDO WAFATILIE HAKI ZAO KWA NINI WAKATAZWE KUFANYA MAZOEZI, TFF NA BODI YA LIGI WATACHUKUA HATUA ZA KISHERIA.

KILICHOPO NI KWAMBA, IKITOKEA SIMBA WAMESUSA MCHEZO, YANGA WATAENDA UWANJANI NA WATAPEWA POINT TATU NA MAGOLI MATATU.

KUTOKUFANYA ZOEZI HAIWEZI KUWA SABABU YA KUSUSIA MCHEZO BHANA.
Mimi ni mwana simba, ila kwa ili sikubaliani na SIMBA kususia mchezo, tunatia aibu sana wana SIMBA kwanini tusiwe smart kama wenzetu yanga jamani
 
Mpira wa miguu unachezwa kwa kanuni!
Kanuni inasema mgeni afanye mazoezi,
Unapomzuia maana yake unakiuka kanuni na maana yake hutaki mchezo ufanyike!

Simva wapo sahihi kutoshiriki mchezo hadi kanuni zifuatwe!

Pia ARAJIGA kwa malalamiko hakutakiwa kuchezesha Derby hii!

Kwahiyo ukichukua mambo hayo mawili unaona iko sababu ya kuuonya uongozi wa bodi na tff wajitathimini!
Na njia ya kuwakumbusha ni KUSIMAMA KWENYE KANUNI!

NO REFORM NO MATCH
 
Mpira wa miguu unachezwa kwa kanuni!
Kanuni inasema mgeni afanye mazoezi,
Unapomzuia maana yake unakiuka kanuni na maana yake hutaki mchezo ufanyike!

Simva wapo sahihi kutoshiriki mchezo hadi kanuni zifuatwe!

Pia ARAJIGA kwa malalamiko hakutakiwa kuchezesha Derby hii!

Kwahiyo ukichukua mambo hayo mawili unaona iko sababu ya kuuonya uongozi wa bodi na tff wajitathimini!
Na njia ya kuwakumbusha ni KUSIMAMA KWENYE KANUNI!

NO REFORM NO MATCH

Kanuni inasema wakizuiwa wenyeji wanatozwa faini, na sio wageni kususia mchezo.

kususia mechi ni ishara ya uoga na kujitafutia visababu visivyo na tija
 
We jamaa unajua umuhimu wa kuweka mazoezi ya mwisho siku moja kabla ya mchezo kwa timu mgeni? Sio wajinga waliotunga hiyo kanunu ina effect kubwa sana kwenye matokeo ya mchezo isipofanyika
 
Yaani mmekuwa na muda wa takribani wiki moja ya kufanya mazoezi na maandalizi yenu yote, mmetumia gharama kubwa sana halafu mnasusa mechi kisa kunyimwa kufanya mazoezi usiku?

Simba mpo sahihi kusikilizwa, lakini si haileti tija kususa mchezo.

Kususa mchezo ni sawa na kujichukulia sheria mkononi.

Nyie mngecheza hafu tff ije itoe adhabu kwa wenyeji wa mchezo.

Kwa akili ya kawaida, timu haijasafiri kutoka nchi nyingine wala mkoa mwingine hadi dar, unadai mnasusa mchezo kisa tu hamjafanya mazoezi kwa siku moja, kwa uchovu ghani hadi mshindwe kucheza mechi kisa hamjafanya mazoezi?

Hapa simaanishi waliochukua maamuzi wa kuwazuia wapo sahihi, hapana. Ni kwamba, taarifa zimeenea mtandaoni, na tff na bodi ya ligi wameona.

Hiyo sio sababu ya kususa mechi, badala yake simba wangecheza then baadaye ndo wafatilie haki zao kwa nini wakatazwe kufanya mazoezi, tff na bodi ya ligi watachukua hatua za kisheria.

Kilichopo ni kwamba, ikitokea simba wamesusa mchezo, yanga wataenda uwanjani na watapewa point tatu na magoli matatu.

Kutokufanya zoezi haiwezi kuwa sababu ya kususia mchezo bhana.
Simba inajua kuwa kinachotafutwa kwa nguvu hadi kuwekeana mabaunsa ni hizo point 3.
 
Kanuni inasema wakizuiwa wenyeji wanatozwa faini, na sio wageni kususia mchezo.

kususia mechi ni ishara ya uoga na kujitafutia visababu visivyo na tija
Hakuna kipengele kinachosema watatozwa faini! Bali kanuni inasema kuzuia mgeni kutotumia uwanja siku moja kabla ni kuuharibu mchezo usiwepo!

Mpira bi mchezo wa kanuni, zikivunjwa maana yake hakuna mchezo!

Mfano kanuni inasema wachezaji wavae jezi, wewe ukipeleka wachezaji wako wakiwa wamevaa suti lazima mchezo uahirishwe!

Yanga wamefanya maksudi!
 
Mpira wa miguu unachezwa kwa kanuni!
Kanuni inasema mgeni afanye mazoezi,
Unapomzuia maana yake unakiuka kanuni na maana yake hutaki mchezo ufanyike!

Simva wapo sahihi kutoshiriki mchezo hadi kanuni zifuatwe!

Pia ARAJIGA kwa malalamiko hakutakiwa kuchezesha Derby hii!

Kwahiyo ukichukua mambo hayo mawili unaona iko sababu ya kuuonya uongozi wa bodi na tff wajitathimini!
Na njia ya kuwakumbusha ni KUSIMAMA KWENYE KANUNI!

NO REFORM NO MATCH
Point 3 na magoli 3
 
Yaani mmekuwa na muda wa takribani wiki moja ya kufanya mazoezi na maandalizi yenu yote, mmetumia gharama kubwa sana halafu mnasusa mechi kisa kunyimwa kufanya mazoezi usiku?

Simba mpo sahihi kusikilizwa, lakini si haileti tija kususa mchezo.

Kususa mchezo ni sawa na kujichukulia sheria mkononi.

Nyie mngecheza hafu tff ije itoe adhabu kwa wenyeji wa mchezo.

Kwa akili ya kawaida, timu haijasafiri kutoka nchi nyingine wala mkoa mwingine hadi dar, unadai mnasusa mchezo kisa tu hamjafanya mazoezi kwa siku moja, kwa uchovu ghani hadi mshindwe kucheza mechi kisa hamjafanya mazoezi?

Hapa simaanishi waliochukua maamuzi wa kuwazuia wapo sahihi, hapana. Ni kwamba, taarifa zimeenea mtandaoni, na tff na bodi ya ligi wameona.

Hiyo sio sababu ya kususa mechi, badala yake simba wangecheza then baadaye ndo wafatilie haki zao kwa nini wakatazwe kufanya mazoezi, tff na bodi ya ligi watachukua hatua za kisheria.

Kilichopo ni kwamba, ikitokea simba wamesusa mchezo, yanga wataenda uwanjani na watapewa point tatu na magoli matatu.

Kutokufanya zoezi haiwezi kuwa sababu ya kususia mchezo bhana.
We hujui lolote
 
Hakuna kipengele kinachosema watatozwa faini! Bali kanuni inasema kuzuia mgeni kutotumia uwanja siku moja kabla ni kuuharibu mchezo usiwepo!

Mpira bi mchezo wa kanuni, zikivunjwa maana yake hakuna mchezo!

Mfano kanuni inasema wachezaji wavae jezi, wewe ukipeleka wachezaji wako wakiwa wamevaa suti lazima mchezo uahirishwe!

Yanga wamefanya maksudi!
Duuh upo vyema mkuu hii post yako inatakiwa isambazwe nyuzi zote ili kumaliza mabishano
 
Yaani mmekuwa na muda wa takribani wiki moja ya kufanya mazoezi na maandalizi yenu yote, mmetumia gharama kubwa sana halafu mnasusa mechi kisa kunyimwa kufanya mazoezi usiku?

Simba mpo sahihi kusikilizwa, lakini si haileti tija kususa mchezo.

Kususa mchezo ni sawa na kujichukulia sheria mkononi.

Nyie mngecheza hafu tff ije itoe adhabu kwa wenyeji wa mchezo.

Kwa akili ya kawaida, timu haijasafiri kutoka nchi nyingine wala mkoa mwingine hadi dar, unadai mnasusa mchezo kisa tu hamjafanya mazoezi kwa siku moja, kwa uchovu ghani hadi mshindwe kucheza mechi kisa hamjafanya mazoezi?

Hapa simaanishi waliochukua maamuzi wa kuwazuia wapo sahihi, hapana. Ni kwamba, taarifa zimeenea mtandaoni, na tff na bodi ya ligi wameona.

Hiyo sio sababu ya kususa mechi, badala yake simba wangecheza then baadaye ndo wafatilie haki zao kwa nini wakatazwe kufanya mazoezi, tff na bodi ya ligi watachukua hatua za kisheria.

Kilichopo ni kwamba, ikitokea simba wamesusa mchezo, yanga wataenda uwanjani na watapewa point tatu na magoli matatu.

Kutokufanya zoezi haiwezi kuwa sababu ya kususia mchezo bhana.
Hili silo jambo dogo. Utachezaje bila kufanya mazoezi kama ilivyopangwa na kukubalika kikanuni?

Yaani mwenyeji kafanya mazoezi, halafu anatumia mbinu na kufanikiwa kumzuia mgeni kujiandaa na kutokufanya mazoezi ili ucheze naye bila kujiandaa ipasavyo?
 
Mpira wa miguu unachezwa kwa kanuni!
Kanuni inasema mgeni afanye mazoezi,
Unapomzuia maana yake unakiuka kanuni na maana yake hutaki mchezo ufanyike!

Simva wapo sahihi kutoshiriki mchezo hadi kanuni zifuatwe!

Pia ARAJIGA kwa malalamiko hakutakiwa kuchezesha Derby hii!

Kwahiyo ukichukua mambo hayo mawili unaona iko sababu ya kuuonya uongozi wa bodi na tff wajitathimini!
Na njia ya kuwakumbusha ni KUSIMAMA KWENYE KANUNI!

NO REFORM NO MATCH
Kumbe kuna lalamiko dhidi ya Arajiga halafu hamtuambii? Eh! Arajiga kafanyaje kwani?
 
Back
Top Bottom