Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Jifunze kufatilia kitu kabla haujaamua kujiingiza, jamaa alisema kuwa Petroleos hawapaki basi ugenini kwahiyo nilikuwa namuelekeza mechi ambazo petro walipaki basi. Hakuna sehemu ambayo nimekataa kuwa kupaki basi sio sehemu ya mchezo.Kupaki bas ni mbinu ya mpira. Na usidhani ni kitu kepesi hivyo kupaki bas na kufaulu kusonga mbele. Uliza Simba wamechezesha walinzi karibia saba lakini kashindwa ugenini kutoboa
Mbinu ya Simba Sc kujilinda ilifanikiwa na ndiomaana walitoka kwa penalty.