DingiMbishi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2021
- 449
- 647
Kwa hiyo Yanga haina cha kujifunza hapo,yenye mshambuliaji mmoja tu tena ambaye mashabiki wake hawapendi akabwe ili ateteme kwa mabeki wazembe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Useme na Utopolo wakijifunze wapi?
Simba hii ya beki anaemkamia Mayele...
Simba hii ya kutegemea vitochi?
Simba hii yenye safu butu ya ushambuliaji?
Labda kama watasajili wachezaji wapya wa kiwango cha CAF
UmetishaNi Simba tu ndio mwenye uwezo wa kujifunza kutoka kimataifa halafu hawa wakina Uto watajifunza kutoka kwa Mnyama [emoji23]