Simba ina wapenzi wengi kuliko Yanga sababu ni rangi zake kufanana na CCM

Simba ina wapenzi wengi kuliko Yanga sababu ni rangi zake kufanana na CCM

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Ni jambo la wazi kwamba simba inapendwa Sana Tanzania kuliko club yoyote ile.

Yanga ina WAPENZI wachache ukilinganisha na Simba pamoja na kulazimisha kupendwa kwa kujiita eti ni timu ya wananchi.

Sababu kuu ya yanga kutokupendwa ni rangi zake zinazofanana na CCM ikumbukwe kwamba chama hiki kina taswira mbaya katika jamii hivyo watu wakiona rangi zake wanaikumbuka ccm na mateso yanayosababishwa na chama hicho.

Ukiona mtu anaipenda yanga na haipendi ccm ujue huyo anajikaza sana basi tu afanyeje.

Yanga stukeni ccm inawaharibia.
badilini rangi mkiweza potelea mbali mkiuwa Brandi ya rangi kwa muda.
 
Imgine watu wanavyotekwa Leo na serikali ya CCM halafu kesho ukiiona mirangi yao ya kijani na njano inavyopepea pale taifa si lazima utamani kutapika...?

Yanga jiwekeni mbali na CCM walahi hata nuru mtaiona vinginevyo mtabaki kuwa club kubwa jinga.
 
Mmmh mi mpenzi wa Simba ila siamini katika hilo, kuna watu ni Gongo wazi, Yanga lialia ila si wapenzi wa CCM, Unaelezeaje hilo???
 
Maeneo mengine yanga huitwa maccm
 
Nimeshaj
Mmmh mi mpenzi wa Simba ila siamini katika hilo, kuna watu ni Gongo wazi, Yanga lialia ila si wapenzi wa CCM, Unaelezeaje hilo???
nimeshajibu hilo hao wanajikaza sana basi tu wafanyaeje ila hizo rangi wapenzi wengi wa yanga wanazichukia mnoo kuliko maelezo.
 
Lisu aliwahi sema yeye ni yanga damu, ila kuvaa jezi za yanga hawezi, maana zinamkumbusha ccm tu, anasema ingekuwa rangi nyingine angekuwa angevaa, naamini kuna ka ukweli kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jambo la wazi kwamba simba inapendwa Sana Tanzania kuliko club yoyote ile.

Yanga ina WAPENZI wachache ukilinganisha na Simba pamoja na kulazimisha kupendwa kwa kujiita eti ni timu ya wananchi.

Sababu kuu ya yanga kutokupendwa ni rangi zake zinazofanana na CCM ikumbukwe kwamba chama hiki kina taswira mbaya katika jamii hivyo watu wakiona rangi zake wanaikumbuka ccm na mateso yanayosababishwa na chama hicho.

Ukiona mtu anaipenda yanga na haipendi ccm ujue huyo anajikaza sana basi tu afanyeje.

Yanga stukeni ccm inawaharibia.
badilini rangi mkiweza potelea mbali mkiuwa Brandi ya rangi kwa muda.
You are truly a super bug.

Unayo taarifa kuwa Tundu Lissu na Mbowe ni Yanga damu?
 
Kwa mbali nikiangalia majukwaa ya Simba , wakati wa mechi na ukichukua rangi ya chama fulani kilichokuwa kina penda sana maandamano na migomo naona kama kuna mfanano mkubwa sana
 
Vijana wa cdm vichwani mwao kumejaa matope matupu, Mimi naichukia yanga ila naipenda ccm
 
Back
Top Bottom