Simba inaenda kurudisha hadhi na msisimko wa Kombe la CAF Shirikisho

Simba inaenda kurudisha hadhi na msisimko wa Kombe la CAF Shirikisho

Kule tunaenda kukutana na wakubwa wenzetu ambao nao wamepania kukiwasha. ASEC, Vita, kama sikosei Kaizer wote hao si timu za kubeza. Hapo bado sijaongelea Berkane na Zamalek ambayo imezaliwa upya kwa wale wanaojua historia ya mpira.
Wydad yupo shirikisho pia.
 
Simba kama kweli yupo serious shirikisho akafike fainali.

Kama hasipofika fainali atakuwa failure tena na tena.

Maana azam wapo serious siku hizi
Cheza kwa malengo yako, usiangalie mwingine yukoje au ana malengo gani
 
Kuna siku niliwahi kupost kuwa CAF walihuzunika sana msimu ule wa 2022-2023 kwa timu zilizoshindana hasa zile zilizofika mbali katika Kombe la Shirikisho. Hadi ikafikia hatua wakaanza kufikiria kuliondoa kabisa kombe hilo kuondoa aibu ndogo ndogo kama zile. Nafikiri sponsors waliona ni upuuzi ulikuwa unaendelea kwa vitimu vile visivyokuwa na profile.

Imagine vitimu kama Malumo ambavyo katika ligi ya ndani vilikuwa vinaelekea kushuka daraja unavikuta viko nusu fainali. Ukiangalia kule unakutana na kitimu kinaitwa sijui Yanga kinafika hadi fainali tena kwa kusumbua timu karibu zote ila ukiangalia katimu hakana mbele wala nyuma. Anyway tuyaache hayo.

Nikiangalia kinachoenda kutokea msimu huu wa 2024-25 ni kuwa Kombe la Shirikisho litakuwa na msisimko sana ambao uaweza hata kuzidi ule wa Champions League. CL imepoteza timu kadhaa kubwa zilizokuwa zinayapa mashindano hadhi. CAF inaenda kuyapa coverage kubwa mashindano ya Shirikisho kutokana na ushiriki wa Simba.

Angalizo: Hersi ana ukaribu sana na Kaizer Chiefs, Simba inabidi icheze kwa stepu mashindano haya.
Simba mmeanza kuchanganyikiwa kabla ya mashindano kuanza.
 
Kule tunaenda kukutana na wakubwa wenzetu ambao nao wamepania kukiwasha. ASEC, Vita, kama sikosei Kaizer wote hao si timu za kubeza. Hapo bado sijaongelea Berkane na Zamalek ambayo imezaliwa upya kwa wale wanaojua historia ya mpira.
kaizer hayupo huko.
 
Simba kama kweli yupo serious shirikisho akafike fainali.

Kama hasipofika fainali atakuwa failure tena na tena.

Maana azam wapo serious siku hizi
Userious upi wa azam hata makundi tu yanamshinda? Kama unabisha onesha lini azam kaenda makundi.
 
Hiki ndo kinanifanya niwakubali mashabiki wa Tanzania. Kikiwa Kwa mwenzako kibovu kikija kwako kizuri. Simba Leo wa kusifia Shirikisho waliloliita Kombe la Losers?
 
Back
Top Bottom