Azam hawezi kuwa serious.Timu ipo Klabu bingwa halafu inataka kumuuza Fei.
Fei sio mchezaji mwenye maajabu klabu bingwa.
Hivyo kama kuna ofa nzuri inamuuza tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam hawezi kuwa serious.Timu ipo Klabu bingwa halafu inataka kumuuza Fei.
Wydad yupo shirikisho pia.Kule tunaenda kukutana na wakubwa wenzetu ambao nao wamepania kukiwasha. ASEC, Vita, kama sikosei Kaizer wote hao si timu za kubeza. Hapo bado sijaongelea Berkane na Zamalek ambayo imezaliwa upya kwa wale wanaojua historia ya mpira.
Cheza kwa malengo yako, usiangalie mwingine yukoje au ana malengo ganiSimba kama kweli yupo serious shirikisho akafike fainali.
Kama hasipofika fainali atakuwa failure tena na tena.
Maana azam wapo serious siku hizi
Usikariri mkuu.Viwango vya watu vinapanda na kushukaFei sio mchezaji mwenye maajabu klabu bingwa.
Hivyo kama kuna ofa nzuri inamuuza tu
unaumia Azam kumuuza Fei ?Azam hawezi kuwa serious.Timu ipo Klabu bingwa halafu inataka kumuuza Fei.
Wydad ilipigwa 2-0 Dar, tena na OnanaWydad yupo shirikisho pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wydad ilipigwa 2-0 Dar, tena na Onana
Simba mmeanza kuchanganyikiwa kabla ya mashindano kuanza.Kuna siku niliwahi kupost kuwa CAF walihuzunika sana msimu ule wa 2022-2023 kwa timu zilizoshindana hasa zile zilizofika mbali katika Kombe la Shirikisho. Hadi ikafikia hatua wakaanza kufikiria kuliondoa kabisa kombe hilo kuondoa aibu ndogo ndogo kama zile. Nafikiri sponsors waliona ni upuuzi ulikuwa unaendelea kwa vitimu vile visivyokuwa na profile.
Imagine vitimu kama Malumo ambavyo katika ligi ya ndani vilikuwa vinaelekea kushuka daraja unavikuta viko nusu fainali. Ukiangalia kule unakutana na kitimu kinaitwa sijui Yanga kinafika hadi fainali tena kwa kusumbua timu karibu zote ila ukiangalia katimu hakana mbele wala nyuma. Anyway tuyaache hayo.
Nikiangalia kinachoenda kutokea msimu huu wa 2024-25 ni kuwa Kombe la Shirikisho litakuwa na msisimko sana ambao uaweza hata kuzidi ule wa Champions League. CL imepoteza timu kadhaa kubwa zilizokuwa zinayapa mashindano hadhi. CAF inaenda kuyapa coverage kubwa mashindano ya Shirikisho kutokana na ushiriki wa Simba.
Angalizo: Hersi ana ukaribu sana na Kaizer Chiefs, Simba inabidi icheze kwa stepu mashindano haya.
Kufika kwake finali labda apite jukwaaniSimba kama kweli yupo serious shirikisho akafike fainali.
Kama hasipofika fainali atakuwa failure tena na tena.
Maana azam wapo serious siku hizi
Vijana wa Mangungu wakishashiba tu ubwabwa, basi ni vurugu tu humu jukwaani! 😁
kaizer hayupo huko.Kule tunaenda kukutana na wakubwa wenzetu ambao nao wamepania kukiwasha. ASEC, Vita, kama sikosei Kaizer wote hao si timu za kubeza. Hapo bado sijaongelea Berkane na Zamalek ambayo imezaliwa upya kwa wale wanaojua historia ya mpira.
Ndio maana mimi ni Azam damu damuunaumia Azam kumuuza Fei ?
AaahaaaKufika kwake finali labda apite jukwaani
Userious upi wa azam hata makundi tu yanamshinda? Kama unabisha onesha lini azam kaenda makundi.Simba kama kweli yupo serious shirikisho akafike fainali.
Kama hasipofika fainali atakuwa failure tena na tena.
Maana azam wapo serious siku hizi