Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Ndiyo eneo lake la kujipanga kwasasaSimba kama kweli yupo serious shirikisho akafike fainali.
Kama hasipofika fainali atakuwa failure tena na tena.
Maana azam wapo serious siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo eneo lake la kujipanga kwasasaSimba kama kweli yupo serious shirikisho akafike fainali.
Kama hasipofika fainali atakuwa failure tena na tena.
Maana azam wapo serious siku hizi
Fikeni fainali acheni taarabuKwa hiyo medali zile mlizozifanyia hadi gwaride mkaenda kumpa mama yenu hazina thamani tena? Simba ndiyo timu pekee ya Tanzania ambayo imewahi kuleta makombe ya CAF nchini hadi walalahoi wakayaona kwa macho yao. CAF Shirikisho 1993 na AFL 2023. Usisahau hilo.
Kwani nani aliyaita hivyo?
Tabu iko pale pale. TABULELE ......................LAAAAAAAAAAAKuna siku niliwahi kupost kuwa CAF walihuzunika sana msimu ule wa 2022-2023 kwa timu zilizoshindana hasa zile zilizofika mbali katika Kombe la Shirikisho. Hadi ikafikia hatua wakaanza kufikiria kuliondoa kabisa kombe hilo kuondoa aibu ndogo ndogo kama zile. Nafikiri sponsors waliona ni upuuzi ulikuwa unaendelea kwa vitimu vile visivyokuwa na profile.
Imagine vitimu kama Malumo ambavyo katika ligi ya ndani vilikuwa vinaelekea kushuka daraja unavikuta viko nusu fainali. Ukiangalia kule unakutana na kitimu kinaitwa sijui Yanga kinafika hadi fainali tena kwa kusumbua timu karibu zote ila ukiangalia katimu hakana mbele wala nyuma. Anyway tuyaache hayo.
Nikiangalia kinachoenda kutokea msimu huu wa 2024-25 ni kuwa Kombe la Shirikisho litakuwa na msisimko sana ambao uaweza hata kuzidi ule wa Champions League. CL imepoteza timu kadhaa kubwa zilizokuwa zinayapa mashindano hadhi. CAF inaenda kuyapa coverage kubwa mashindano ya Shirikisho kutokana na ushiriki wa Simba.
Angalizo: Hersi ana ukaribu sana na Kaizer Chiefs, Simba inabidi icheze kwa stepu mashindano haya.
Huyu mzee ni fala, anatuona sisi CCM
Huyu mzee sidhan kama atakua anaenda hata uwanjani msimu ujao maana atakua anazomewa tuHuyu mzee ni fala, anatuona sisi CCM
kila kitu kinawezekan mkuuNdio maana mimi ni Azam damu damu
Alieita loser ni Manara wakati Simba wakishiriki. Baada ya Yanga kushiriki ni kama walikuwa wakiwakumbusha Kauli ya Manara.Hiki ndo kinanifanya niwakubali mashabiki wa Tanzania. Kikiwa Kwa mwenzako kibovu kikija kwako kizuri. Simba Leo wa kusifia Shirikisho waliloliita Kombe la Losers?
Azam anaenda kubutuliwa raundi ya kwanza tu. Kwenye mbio hizo hata Namungo anaizidi Azam.Simba kama kweli yupo serious shirikisho akafike fainali.
Kama hasipofika fainali atakuwa failure tena na tena.
Maana azam wapo serious siku hizi
Uko sahihi, mechi ni nzuri, simba walikuwa vizuri kwenye ulinzi kipindi cha kwanza, mabululu anatakiwa achungwe kipindi cha piliNadhani sasa mnanielewa nilichosema. Hii mechi dhidi ya Al Ahli ina hadhi zote za CAF hata katika level ya robo fainali. Kule kwingine sasa.....
Uliangalia mechi ya Al Merreikh vs Far Rabat?Nadhani sasa mnanielewa nilichosema. Hii mechi dhidi ya Al Ahli ina hadhi zote za CAF hata katika level ya robo fainali. Kule kwingine sasa.....
Nimekuuliza uliangalia mechi hiyo ya Al Merreikh vs Far Rabat? Jibu ni moja kuwa umeangalia ama lah haujaangalia.Vipi inashindana kwa ubovu na ile ya Ethiopia?
Ulikuwa sahihi..mechi ilikuwa na mvuto waaina yake ukichagizwa na mwamuzi wa kati.. hakika nimeenjoyNadhani sasa mnanielewa nilichosema. Hii mechi dhidi ya Al Ahli ina hadhi zote za CAF hata katika level ya robo fainali. Kule kwingine sasa.....