eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 314
Kutokana na FIFA kuchelewesha majibu ya ponti 3 Simba inazodai,zikiwa hazija fika hadi siku hio hawato peleka timu uanjani.Kwani kwa kufanya hivyo ni kukubali moja kwa moja kama Yanga ndo mabingwa na hivyo ombi lao FIFA kutupiliwa mbali na wao kuendelea kuwa mambumbumbu kama Rage alivyo waita.
Sent using Jamii Forums mobile app
usiwe na akili za kutokujiongeza hkn k2 kama hcho na jana kuna mzki gan ulioneshwa pale zaid ya bahati kuwa upnd wenuSasa usajili wa timu nzima walifanya wa nini?
Wameona mziki wa jana sio mchezo, waache visingizio hakuna ushindi utolewao na FIFA
Lazima wakimbie tu maana siku hizi ni watu wa sababu. Hebu fikiria kiongozi anasema TFF viongozi ni kabila MOJA. Kiongozi kama huyo atakosa kugomea mechi?Kutokana na FIFA kuchelewesha majibu ya ponti 3 Simba inazodai,zikiwa hazija fika hadi siku hio hawato peleka timu uanjani.Kwani kwa kufanya hivyo ni kukubali moja kwa moja kama Yanga ndo mabingwa na hivyo ombi lao FIFA kutupiliwa mbali na wao kuendelea kuwa mambumbumbu kama Rage alivyo waita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si unataka kulazima basi sawa "umechecki jana bahati ilivyokua kubwa kwa Dar Young Africa" umefurahi sasa...usiwe na akili za kutokujiongeza hkn k2 kama hcho na jana kuna mzki gan ulioneshwa pale zaid ya bahati kuwa upnd wenu
Mkuu usisahau hawa Simbasaba kuna kiongozi wao Msomali aliwaita mbumbumbuMashabiki wa simba ni MANYUMBU sijawahi ona...
niliwahi anzisha uzi humu, niiuliza kama Simba itacheza na nani kwenye mchezo wa ngao ya hisani ikiwa mpaka leo hii kuanzia viongozi wao mpaka mashabiki hawamtambui YANGA SC kama bingwa wa msimu uliopita?
Kumbe na wao kama mademu tu, ukimtongoza anakataa lakini ukiongeza jitihada anakupeleka ghetto yeye mwenyewe. Hahahah
Sema ukweli kukosa ubingwa na kuinamishwa na mtani wako pale Taifa kipi kinaleta maumivu makali kiasi ushindwe kuonekana mtaani kwa siku ya pili baada ya kuinamishwa . kipi kinamaumivu sana.Hata NDOO 27 za Ubingwa za Yanga SC mtaziita bahati nazo....
Hahahaaa.. Eti bahati [emoji2] [emoji2] [emoji2]usiwe na akili za kutokujiongeza hkn k2 kama hcho na jana kuna mzki gan ulioneshwa pale zaid ya bahati kuwa upnd wenu
Yanga wanafanya sherehe za ubingwa nyie Birthday tarehe 8Sema ukweli kukosa ubingwa na kuinamishwa na mtani wako pale Taifa kipi kinaleta maumivu makali kiasi ushindwe kuonekana mtaani kwa siku ya pili baada ya kuinamishwa . kipi kinamaumivu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia angalau 05% tu ya akili yako.Mashabiki wa simba ni MANYUMBU sijawahi ona...
niliwahi anzisha uzi humu, niiuliza kama Simba itacheza na nani kwenye mchezo wa ngao ya hisani ikiwa mpaka leo hii kuanzia viongozi wao mpaka mashabiki hawamtambui YANGA SC kama bingwa wa msimu uliopita?
Kumbe na wao kama mademu tu, ukimtongoza anakataa lakini ukiongeza jitihada anakupeleka ghetto yeye mwenyewe. Hahahah