eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 314
Kutokana na FIFA kuchelewesha majibu ya ponti 3 Simba inazodai,zikiwa hazija fika hadi siku hio hawato peleka timu uanjani.Kwani kwa kufanya hivyo ni kukubali moja kwa moja kama Yanga ndo mabingwa na hivyo ombi lao FIFA kutupiliwa mbali na wao kuendelea kuwa mambumbumbu kama Rage alivyo waita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app