Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naweza sema ni kweli, ni kwasababu SIMBA kufungwa na YANGA ni aibu kubwa, ila yanga kufungwa na simba ni kawaida tu sawa na malaya alefumaniwaPamoja na kufanya vizuri kwenye champions league bado hofu ya Simba inabaki kwa Yanga kuliko timu yeyote ile, ukweli ndio huo na hili tunaliona haswa kupitia hata washabiki wake huku mitaani.
Tofauti na Yanga, Yanga timu zote zipo kwenye level moja na kupewa heshima sawa na wote ila si kuhofia na ndio kisa hata timu zinazomtesa Simba mfano Tanzania Prison, Ruvu shooting kwa Yanga ni biskuti tu.
Simba wakifikiria hapo na wakikumbuka ya Zanzibar basi ndio kuhangaika tu kwa waganga, akina Manara kuzunguka radio zote mjini hao Yanga akina Nugas wametulia tuli wanasubiri kumsulubu mtu Jumamosi.
NB: Mimi ni mshabiki kindakindaki wa Azam FC isionekane eti kama nina mapenzi upande mmoja hapo ni maono yangu tu juu ya ujio wa mechi hii.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ngoja yaje mamikia yakulee povu. Na yana povu la omo mamikia. Na humu ni mengi mamikiaPamoja na kufanya vizuri kwenye champions league bado hofu ya Simba inabaki kwa Yanga kuliko timu yeyote ile, ukweli ndio huo na hili tunaliona haswa kupitia hata washabiki wake huku mitaani.
Tofauti na Yanga, Yanga timu zote zipo kwenye level moja na kupewa heshima sawa na wote ila si kuhofia na ndio kisa hata timu zinazomtesa Simba mfano Tanzania Prison, Ruvu shooting kwa Yanga ni biskuti tu.
Simba wakifikiria hapo na wakikumbuka ya Zanzibar basi ndio kuhangaika tu kwa waganga, akina Manara kuzunguka radio zote mjini hao Yanga akina Nugas wametulia tuli wanasubiri kumsulubu mtu Jumamosi.
NB: Mimi ni mshabiki kindakindaki wa Azam FC isionekane eti kama nina mapenzi upande mmoja hapo ni maono yangu tu juu ya ujio wa mechi hii.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Na nyie wenyewe mnalijua hili kwamba katika dunia nzima timu mnayoiogopa ni YangaUna uhakika na ulichokiandika?
M40 mtampa refaBila makandokando Paka fc ni mwepesi kama pamba kwa Yanga
Yanga inamuwezea simba na si timu zote si unajua kila timu na mnyonge wakeSasa kama yanga inaziwezea timu zote mbona amecheza mechi nyingi na bdo yuko nafas ya 2
Si ni mwaka jana tu tumewapiga goli 4-1 nyinyi? Au umesahau?Pamoja na kufanya vizuri kwenye champions league bado hofu ya Simba inabaki kwa Yanga kuliko timu yeyote ile, ukweli ndio huo na hili tunaliona haswa kupitia hata washabiki wake huku mitaani.
Tofauti na Yanga, Yanga timu zote zipo kwenye level moja na kupewa heshima sawa na wote ila si kuhofia na ndio kisa hata timu zinazomtesa Simba mfano Tanzania Prison, Ruvu shooting kwa Yanga ni biskuti tu.
Simba wakifikiria hapo na wakikumbuka ya Zanzibar basi ndio kuhangaika tu kwa waganga, akina Manara kuzunguka radio zote mjini hao Yanga akina Nugas wametulia tuli wanasubiri kumsulubu mtu Jumamosi.
NB: Mimi ni mshabiki kindakindaki wa Azam FC isionekane eti kama nina mapenzi upande mmoja hapo ni maono yangu tu juu ya ujio wa mechi hii.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app