Dawa ni kumuiba Airport tu kama NGOMA.Yanga haiwezi kua inaendeshwa kienyeji kiasi hicho,ntakua wa mwisho kuamini kua mpaka sasa hawajakaa mezani na mchezaji wake tegemezi
Maxi zengeli walimpa mkataba wa muda mfupi baada ya Kuona anakiwasha wakamboreshea mkataba na kumpa crown new model juu
Hersi ni mtu makini hawezi kufanya makosa ya kizembe hivi, alafu Kuna interview niliona aziz k akimsifia hersi kua wapo karibu sana na hua anaenda mpaka kuitembelea familia yake
Anyway muda utaongea, ila nahisi Simba wanaeneza propaganda kama walivyowafanyia mambumbumbu kwa manzoki
Una ukaribu na mwekezaji wa simba kwa kiasi gani?Labda kwa waliozidi Yanga kifedha kama vile timu za Africa kusini na timu za kiarabu ila kwa Simba kwasasa sio rahisi.
Hahaha.Hizo tetesi zinatengenezwa maksudi ila boss aingie king kwa mfanyakazi wake na aone ana thamani zilitengenezwa kwa zimbwe jr kwa mwamnyeto na Dickson job mikataba yao ilipokuwa inaelekea ukingoni kwa hyo ni kawaida swala la kweli simba wanamtaka au laa simba hawana mpango naye kwa sasa simba ni kubwa kuliko aziz ki pambaneni na hali zenu utopolo.
Kwani wewe unao ukaribu na GSM kwa kiasi gani?Una ukaribu na mwekezaji wa simba kwa kiasi gani?
usikute wapo airport saa hizi wanamsubiri...Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.
Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.
Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.
Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.
Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
Aliyezungumzia uwezo wa Simba kifedha si ni wewe? NakunukuuKwani wewe unao ukaribu na GSM kwa kiasi gani?
Unajua kwamba simba ilimpa ofa kubwa zaidi ya waliyotoa yanga kipindi kile na bado akaipiga chini simba na kuamua kwenda yanga.Siyo kuvunjiwa mkataba,mkataba wako unaisha mwezi ujao mwishoni na dirisha dogo linafunguliwa,je simba wakimpa donge nono hawezi kukubali?
Aziz Ki si mlimshindwa kutokana na kutaka ela nyingi? Je Aziz Ki yuko wapi kwasasa?Aliyezungumzia uwezo wa Simba kifedha si ni wewe? Nakunukuu
"Labda kwa waliozidi Yanga kifedha kama vile timu za Africa kusini na timu za kiarabu ila kwa Simba kwasasa sio rahisi."
Kimsingi jamaa wananunua vitu wasivojua vinatumikaje, tabu zaid hata hawaelewi manual.Simba siku za karibuni imekuwa na watu waaiojua aina ya wachezaji inaowataka...
Hii ndo point iliyokufanya kuhitimisha uwezo wa kifedha wa Club ya Simba?Aziz Ki si mlimshindwa kutokana na kutaka ela nyingi? Je Aziz Ki yuko wapi kwasasa?
Mshaanza zile porojo zenu za miaka nenda! Hiyo jeuri ya kumsajili Stephane Aziz Kii mnaitoa wapi nyinyi wazee wa pira papatu papatu? Caesar Manzoki tu mlishindwa kusdajili. Ndiyo muwe na uwezo wa kumsajili Azizi Kii!!Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.
Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.
Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.
Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.
Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
Historia ya Bernard Morrison na Stephane Aziz Kii ni tofauti kabisa. Morrison alisajiliwa kwa mkataba wa majaribio wa miezi 6 pekee kutokana na ukweli kwamba, viongozi wa Yanga hawakumuamini kwa 100%. Na yeye baada ya kuwafunga kwenye ile mechi ya derby, akaona atumie mwanya wa kula hela za mwekezaji wenu Mwamedi.Hata Morison mlisema hivo hadi mkafungua mashtaka
Manzoki hamumtaki tena?Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.
Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.
Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.
Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.
Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?