Tetesi: Simba inamnyemelea Aziz Ki

Tetesi: Simba inamnyemelea Aziz Ki

Hizo tetesi zinatengenezwa maksudi ila boss aingie king kwa mfanyakazi wake na aone ana thamani zilitengenezwa kwa zimbwe jr kwa mwamnyeto na Dickson job mikataba yao ilipokuwa inaelekea ukingoni kwa hyo ni kawaida swala la kweli simba wanamtaka au laa simba hawana mpango naye kwa sasa simba ni kubwa kuliko aziz ki pambaneni na hali zenu utopolo.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hizo tetesi zinatengenezwa maksudi ila boss aingie king kwa mfanyakazi wake na aone ana thamani zilitengenezwa kwa zimbwe jr kwa mwamnyeto na Dickson job mikataba yao ilipokuwa inaelekea ukingoni kwa hyo ni kawaida swala la kweli simba wanamtaka au laa simba hawana mpango naye kwa sasa simba ni kubwa kuliko aziz ki pambaneni na hali zenu utopolo.
 
Aziz Ki mbona kitambo tu alishaongeza mkataba Yanga
 
Yanga haiwezi kua inaendeshwa kienyeji kiasi hicho,ntakua wa mwisho kuamini kua mpaka sasa hawajakaa mezani na mchezaji wake tegemezi

Maxi zengeli walimpa mkataba wa muda mfupi baada ya Kuona anakiwasha wakamboreshea mkataba na kumpa crown new model juu

Hersi ni mtu makini hawezi kufanya makosa ya kizembe hivi, alafu Kuna interview niliona aziz k akimsifia hersi kua wapo karibu sana na hua anaenda mpaka kuitembelea familia yake

Anyway muda utaongea, ila nahisi Simba wanaeneza propaganda kama walivyowafanyia mambumbumbu kwa manzoki
Dawa ni kumuiba Airport tu kama NGOMA.
 
Labda kwa waliozidi Yanga kifedha kama vile timu za Africa kusini na timu za kiarabu ila kwa Simba kwasasa sio rahisi.
Una ukaribu na mwekezaji wa simba kwa kiasi gani?
 
Hizo tetesi zinatengenezwa maksudi ila boss aingie king kwa mfanyakazi wake na aone ana thamani zilitengenezwa kwa zimbwe jr kwa mwamnyeto na Dickson job mikataba yao ilipokuwa inaelekea ukingoni kwa hyo ni kawaida swala la kweli simba wanamtaka au laa simba hawana mpango naye kwa sasa simba ni kubwa kuliko aziz ki pambaneni na hali zenu utopolo.
Hahaha.
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.

Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.

Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.

Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.

Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
usikute wapo airport saa hizi wanamsubiri...
 
Kwani wewe unao ukaribu na GSM kwa kiasi gani?
Aliyezungumzia uwezo wa Simba kifedha si ni wewe? Nakunukuu

"Labda kwa waliozidi Yanga kifedha kama vile timu za Africa kusini na timu za kiarabu ila kwa Simba kwasasa sio rahisi."
 
Siyo kuvunjiwa mkataba,mkataba wako unaisha mwezi ujao mwishoni na dirisha dogo linafunguliwa,je simba wakimpa donge nono hawezi kukubali?
Unajua kwamba simba ilimpa ofa kubwa zaidi ya waliyotoa yanga kipindi kile na bado akaipiga chini simba na kuamua kwenda yanga.
 
Kheee tena ...... Mchezaji mliyesema yanga kapigwa kumnunua kwa 600m ndio Simba inamtaka?. Kama yanga ilimnunua kwa hiyo hela vipi saizi Simba inaweza kumpa 1B maana thamani yake imeongezeka Mara dufu?.
 
Aliyezungumzia uwezo wa Simba kifedha si ni wewe? Nakunukuu

"Labda kwa waliozidi Yanga kifedha kama vile timu za Africa kusini na timu za kiarabu ila kwa Simba kwasasa sio rahisi."
Aziz Ki si mlimshindwa kutokana na kutaka ela nyingi? Je Aziz Ki yuko wapi kwasasa?
 
Aziz Ki si mlimshindwa kutokana na kutaka ela nyingi? Je Aziz Ki yuko wapi kwasasa?
Hii ndo point iliyokufanya kuhitimisha uwezo wa kifedha wa Club ya Simba?
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.

Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.

Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.

Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.

Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
Mshaanza zile porojo zenu za miaka nenda! Hiyo jeuri ya kumsajili Stephane Aziz Kii mnaitoa wapi nyinyi wazee wa pira papatu papatu? Caesar Manzoki tu mlishindwa kusdajili. Ndiyo muwe na uwezo wa kumsajili Azizi Kii!!

Na huyo Aziz Kii naye atakuwa ni mjinga wa kiasi hicho kweli!! Yaani atoke timu inayojielewa, halafu ahamia timu inayoendeshwa kijanja janja kama genge la wahuni!! Aisee mtasubiri sana na umbumbumbu wenu.
 
Hata Morison mlisema hivo hadi mkafungua mashtaka
Historia ya Bernard Morrison na Stephane Aziz Kii ni tofauti kabisa. Morrison alisajiliwa kwa mkataba wa majaribio wa miezi 6 pekee kutokana na ukweli kwamba, viongozi wa Yanga hawakumuamini kwa 100%. Na yeye baada ya kuwafunga kwenye ile mechi ya derby, akaona atumie mwanya wa kula hela za mwekezaji wenu Mwamedi.

Ukija kwa Aziz Kii, mambo ni tofauti kabisa! Maana yeye amesajiliwa kwa dau kubwa! Kwa sababu viongozi wa Yanga tangu awali walikuwa na imani naye. Na dau la usajili wake ukumbuke kwa upande wenu mlishindwa kulifikia kiasi cha baadhi ya mashabiki wenzenu kuja na nyuzi za kuikejeli Yanga kumsajili mchezaji kama huyo kwa dau kubwa!!

Na leo hii mnajitoa ufahamu eti kumsifia na kumhitaji!! Huu ni unafiki wa kiwango cha juu sana.
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.

Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.

Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.

Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.

Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
Manzoki hamumtaki tena?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom