pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Hizo tetesi zinatengenezwa maksudi ila boss aingie king kwa mfanyakazi wake na aone ana thamani zilitengenezwa kwa zimbwe jr kwa mwamnyeto na Dickson job mikataba yao ilipokuwa inaelekea ukingoni kwa hyo ni kawaida swala la kweli simba wanamtaka au laa simba hawana mpango naye kwa sasa simba ni kubwa kuliko aziz ki pambaneni na hali zenu utopolo.