Tetesi: Simba inamnyemelea Aziz Ki

Tetesi: Simba inamnyemelea Aziz Ki

Ni mara chache sana mchezaji atatanguliza uzalendo kabla ya maslahi esp hizi timu zetu za Africa. Uzalendo upo kwa mashabiki sio wachezaji. Suala ni nini kinawekwa mezani. Ukitaka kuamini atokee muarabu wa visima vya mafuta ainunue ihefu halafu atake kuwasajali kina max, aziz k na wengine.
Ndio maana nikatoa maelezo juu kuwa Simba ilishindwana na dau alilotoa Aziz Ki ila Yanga wakafikiana muafaka na Aziz Ki kwa kufuata maslahi aliyohitaji. Vipi kwasasa mmeshajichanga changa, au somo limewaangia kuhusu thamani ya Aziz Ki?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ndio maana nikatoa maelezo juu kuwa Simba ilishindwana na dau alilotoa Aziz Ki ila Yanga wakafikiana muafaka na Aziz Ki kwa kufuata maslahi aliyohitaji. Vipi kwasasa mmeshajichanga changa, au somo limewaangia kuhusu thamani ya Aziz Ki?
Kama unakubali kuwa yupo Yanga kwa maslahi basi unajua kuwa anaweza kuwa pengine kwa hayo hayo maslahi. Thamani yake inapimwa na kiwango chake. Kwa sasa ipo juu.
 
Kama unakubali kuwa yupo Yanga kwa maslahi basi unajua kuwa anaweza kuwa pengine kwa hayo hayo maslahi. Thamani yake inapimwa na kiwango chake. Kwa sasa ipo juu.
Labda kwa waliozidi Yanga kifedha kama vile timu za Africa kusini na timu za kiarabu ila kwa Simba kwasasa sio rahisi.
 
Siyo kuvunjiwa mkataba,mkataba wako unaisha mwezi ujao mwishoni na dirisha dogo linafunguliwa,je simba wakimpa donge nono hawezi kukubali?
Kumpata huyo mwamba hata mkataba ukiisha hapatikani
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.

Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.

Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.

Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.

Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
Tangu niambiwe Wakala wa Aziz Ki ni mama yake lakini ni mwanaume siamini lolote toka Kwa waandishi.
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.

Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.

Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.

Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.

Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
Chanzo cha habari yako. au unatafuta umaarufu usio natija mkuu.
 
Simba haina mpango na Aziz Ki, ila watu wanaopenda attention na kiki ndo wanazusha hilo jambo
 
Simba wanajitekenya na kucheka....
Yenyeweee
Anayejitekenya na kucheka mwenyewe ni mleta mada, wewe umemsikia kiongozi gani wa Simba kathibitisha kwamba kweli wanamfukuzia Aziz Ki? Achana na utopolo hao wanawakumbushia 5G.
 
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba club ya Simba ikimfukuzia mchezaji wa Yanga Aziz K.

Mkataba wa Yanga na Aziz K unaelekea ukingoni wakati wa dirisha dogo la usajili kufunguliwa.

Imekuwa ngumu kwa Yanga kumweka karibu mchezaji wakati huu akiwa kwenye majukumu ya taifa lake maana wametafuta mawasiliano baaada ya kusikia watani zao wanamyemelea lakini mawasiliano yamekuwa magumu hadi atakaporejea Dar es salaam.

Haishangazi kwa wachezaji wa kimataifa kurubunika dau linapofikiwa tusubiri mwisho wake, inaweza ikawa kama Morison alivyoondoka.

Maoni yako ni nini? Je unaridhika Aziz kuondoka Yanga ?
Je ikiwa kweli Simba mnaridhika kuwa na mchezaji kama Aziz?
Hizo tetesi zinatengenezwa maksudi ila boss aingie king kwa mfanyakazi wake na aone ana thamani zilitengenezwa kwa zimbwe jr kwa mwamnyeto na Dickson job mikataba yao ilipokuwa inaelekea ukingoni kwa hyo ni kawaida swala la
 
Back
Top Bottom