Pale Simba analia na ndio maana hawana furaha na hawataki kabisa Simba "Yao" iongelewe ila ukweli ni kwenye kundi hili Jwanengy Galaxy alikuwa anamtaka Simba na Wydad kwa udi na uvumbaNdio maana kuna mdau akasema eti kwa makirikiri wanaenda kuchezea Watu wamepinda sasa
Senzo yupo pale kama director wa ligi ya Botswana na jamaa anajua sana kuuza ma file pale lazima Simba alale hamna hamna 2Wale galaxy wale wa msimu huu..
Wametinga makundi kwa kibabe kwa kumtoa Orlando pirates kwake.
Mechi ya kwanza ya makundi wamepata point 3 wamemfunga finalist Waydad casablanca kwake Morocco.
Naona kabisa Simba mwenye migogoro anaelekea Botswana na yeye kumpelekea Jwaneng Galaxy point 3.
Kama Orlando na Waydad wamekufa.. sioni Simba anaponaje
Mfumo ulikuwa unawekwa sawa mkuu kuanzia kwa kocha hadi wachezaji kesho kitu utaona hutaamini macho Yako ni yanga anaenda next levelHao hawajui hata wachezaji wao wako wapi maana toka wamerudi kutoka kwenye kichapo hawajapostiwa halafu wanatuambia wanaendeshwa kisasa
Mpira hauko hivyo, siyo kama hesabu za mlinganyo ndg zangu. tujenge utamaduni wa kuhesshimu mchezo ndani ya dk 90. Huu utani sasa unapoteza maana.Wale galaxy wale wa msimu huu..
Wametinga makundi kwa kibabe kwa kumtoa Orlando pirates kwake.
Mechi ya kwanza ya makundi wamepata point 3 wamemfunga finalist Waydad casablanca kwake Morocco.
Naona kabisa Simba mwenye migogoro anaelekea Botswana na yeye kumpelekea Jwaneng Galaxy point 3.
Kama Orlando na Waydad wamekufa.. sioni Simba anaponaje
Ile honeymoon ilitupoteza Sasa tumerudi kwenye malengo yetuWalitangaza kunywa supu na kusherekea goli 5 mwisho wa siku wakapigwa 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa hivoo yanga angeendlea kukaa na kaseke wasimtupe singidaNi mtu muhimu (legend) Hawa huwa wanachukuliwa hata kama hawana match fitness tena wengine hugoma lakini wanabembelezwa Benchika hafiki February kwa muendelezo huu
Mtashinda na njaa.Shupalieni yasiyowahusu hivyohivyo.Tunashinda uwanjani
Utani haupotezi maana kiongozi mbona mnalazimisha tusikitike kama nyie wakati si mafanikio tunayaonaMpira hauko hivyo, siyo kama hesabu za mlinganyo ndg zangu. tujenge utamaduni wa kuhesshimu mchezo ndani ya dk 90. Huu utani sasa unapoteza maana.
Kaseke huwezi kumlinganisha na Bocco yanga tulikaa na Canavaro hadi akastaafu pale pale JangwaniIngekuwa hivoo yanga angeendlea kukaa na kaseke wasimtupe singida
Andika kishujaa halafu baadaye mtie huruma na sura ndefu kama uji wa muhogo.Utani haupotezi maana kiongozi mbona mnalazimisha tusikitike kama nyie wakati si mafanikio tunayaona
Mpira ulikuwa gari iliwaka vizuri makosa yakatokea kwenye safu ulinzi na kiungo tukafungwa hayo yamefanyiwa kazi
Golini karudi mwenye miamba yake Diara the master Sasa mnatakaje tuogope!?YAJAYO YANAFURAHISHA STAY TUNE!!
WEKA BANDO
Ushaambiwa manula ameumia bado unalalamika ameachwa.Watapoteana zaidi kwa kumuacha Boco na Manula Hawa naona azam atawachukua dirisha dogo hasa Manula
Kesho sio mbali tunampiga kama ngoma, wewe endelea kumshabikiaWale galaxy wale wa msimu huu..
Wametinga makundi kwa kibabe kwa kumtoa Orlando pirates kwake.
Mechi ya kwanza ya makundi wamepata point 3 wamemfunga finalist Waydad casablanca kwake Morocco.
Naona kabisa Simba mwenye migogoro anaelekea Botswana na yeye kumpelekea Jwaneng Galaxy point 3.
Kama Orlando na Waydad wamekufa.. sioni Simba anaponaje
Akifika je? Legend ambaye akifika golini ana bung'aaNi mtu muhimu (legend) Hawa huwa wanachukuliwa hata kama hawana match fitness tena wengine hugoma lakini wanabembelezwa Benchika hafiki February kwa muendelezo huu