Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ww bana...si umeambiwa ameumia? Hebu msituchoshe pelekeni maoni kwa Sir Bennchika....Huruma isiwe kwa wote ila huyu ni legend si tulimpa Canavaro heshima hadi alipostaafu pale pale nyumbani ndivyo shujaa anavyoheshimiwa kumbuka Boco ni all time top scorer wa ligi yetu infact hata kiatu Cha mfungaji Bora kinapaswa kupewa jina lake Sasa mnamuachaje tena kwa maneno ya dharau kama haya
Kukandwa hakuepukiki...hilo ni pieWanawekezaga nguvu kwenye mambo ya Simba huko wanasahau mechi zao mwisho wa siku wanakandwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani ngoja niweke notification3/12
Mangungu amkodie ndege akaungane na wenzake, bila hivyo wakifungwa timu ikirudi tutaipopoa kwa mawe wakitoka tu kwenye viunga vya airport.Simba wamekosea sana Bocco ni muhimu sana hata kwenye bench huwa anajitahidi kutoa maoni kwa wachezaji wenzake
hata tukifungwa nafasi bado ipo palepale.Mkuu ni vizuri zaidi mgewekeza hizi nguvu kwenye mechi yenu na Al Ahly, maana mnayajadili ya Simba hadi mnapoteza mechi zenu,kumbuka ukifungwa tena hii game hamna nafasi tena ya kufuzu
Sent using Jamii Forums mobile app
watakuambia, 5imba guvu [/QUOTE]watakuambia, 5imba guvu moyaaaaaaInaweza kuwa ni zama mpya ndani ya Simba au ni muendelezo wa sintofahamu iliyosababishwa na kipigo Cha goli 5 kutoka kwa club inayoongozwa na mwanyekiti wa vilabu vyote Afrika Hersi Said.
Simba imewaacha nguli hao wa soka la ndani na nje ya nchi huku wakikabiliwa na mechi ngumu kutoka kwa kiongozi wa kundi lao ambae ni Jwanengy Galaxy.
Simba waombewe sana nje ya hapo nawaona wakipoteana mazima.
#prayforsimba#
Mfumo ulikuwa unawekwa sawa mkuu kuanzia kwa kocha hadi wachezaji kesho kitu utaona hutaamini macho Yako ni yanga anaenda next level
Al Ahly kayakanyaga
Wa kwako waliopostiwa wameshinda ngapi Kama kupostiwa ndio ushindi? Akili zenu anazijua mangungu peke yake!
Jamaa kasema "hawajapostiwa"dah yani kupostiwa imekuwa kitu relevant kiasi Cha kutumika kwenye mjadala
Kesho ushindi lazima japo utakuwa mwembambaView attachment 2830157
Kama AC Milan fulani hivi halafu nyie wa kwenu mmewazindika huko kilingeni wiki nzima. kesho msije mkaruka ukuta tu mkaliaibisha taifa 😀😛😀
tukutane baada ya dk 90+Kesho ushindi lazima japo utakuwa mwembamba
Mpira una maajabu mkuu ni kama Wydad kufa kwake hao vibonde Simba usishangae wanachukua point 3 hapo mpira una matokeo ya kikatili sana Galaxy wanaweza kupoteza hii gemu wakicheza kwa kujiamini ila wakiamua wafanye kweli wao mechi ya leo tu inaweza kuwafanya wafuzu maana watasubiri sare mechi mbili au washinde moja huku Asec na ndugu zake wakitafuta nafasi moja..Wale galaxy wale wa msimu huu..
Wametinga makundi kwa kibabe kwa kumtoa Orlando pirates kwake.
Mechi ya kwanza ya makundi wamepata point 3 wamemfunga finalist Waydad casablanca kwake Morocco.
Naona kabisa Simba mwenye migogoro anaelekea Botswana na yeye kumpelekea Jwaneng Galaxy point 3.
Kama Orlando na Waydad wamekufa.. sioni Simba anaponaje
mech ni leo saa 10 alasiriHiyo mechi ni tareh ngapi? Niandae popcon zangu ndoo nzima na pepsi nikishuhudia mtu akikandwa