Simba inasafiri bila Manula, Bocco kule Botswana

Simba inasafiri bila Manula, Bocco kule Botswana

Pale hamna kipa,Naumia sana nikimuona Meshaki Abel akisugua jukwaani ilihali uwezo wake anamzidi hadi Ally Salim
Ni ajbu sana Abel anajua kuliko hao wote ila nadhani ni maelekezo
 
Huruma isiwe kwa wote ila huyu ni legend si tulimpa Canavaro heshima hadi alipostaafu pale pale nyumbani ndivyo shujaa anavyoheshimiwa kumbuka Boco ni all time top scorer wa ligi yetu infact hata kiatu Cha mfungaji Bora kinapaswa kupewa jina lake Sasa mnamuachaje tena kwa maneno ya dharau kama haya
Na ww bana...si umeambiwa ameumia? Hebu msituchoshe pelekeni maoni kwa Sir Bennchika....
 
Hiyo mechi ni tareh ngapi? Niandae popcon zangu ndoo nzima na pepsi nikishuhudia mtu akikandwa
 
Simba wamekosea sana Bocco ni muhimu sana hata kwenye bench huwa anajitahidi kutoa maoni kwa wachezaji wenzake
Mangungu amkodie ndege akaungane na wenzake, bila hivyo wakifungwa timu ikirudi tutaipopoa kwa mawe wakitoka tu kwenye viunga vya airport.
 
Inaweza kuwa ni zama mpya ndani ya Simba au ni muendelezo wa sintofahamu iliyosababishwa na kipigo Cha goli 5 kutoka kwa club inayoongozwa na mwanyekiti wa vilabu vyote Afrika Hersi Said.

Simba imewaacha nguli hao wa soka la ndani na nje ya nchi huku wakikabiliwa na mechi ngumu kutoka kwa kiongozi wa kundi lao ambae ni Jwanengy Galaxy.

Simba waombewe sana nje ya hapo nawaona wakipoteana mazima.

#prayforsimba#
watakuambia, 5imba guvu [/QUOTE]watakuambia, 5imba guvu moyaaaaaa
 
Mfumo ulikuwa unawekwa sawa mkuu kuanzia kwa kocha hadi wachezaji kesho kitu utaona hutaamini macho Yako ni yanga anaenda next level
Al Ahly kayakanyaga

Wa kwako waliopostiwa wameshinda ngapi Kama kupostiwa ndio ushindi? Akili zenu anazijua mangungu peke yake!

Jamaa kasema "hawajapostiwa"dah yani kupostiwa imekuwa kitu relevant kiasi Cha kutumika kwenye mjadala

Screen Shot 2023-12-01 at 11.47.26 AM.png

Kama AC Milan fulani hivi halafu nyie wa kwenu mmewazindika huko kilingeni wiki nzima. kesho msije mkaruka ukuta tu mkaliaibisha taifa 😀😛😀
 
Mangungu amkodie ndege akaungane na wenzake, bila hivyo wakifungwa timu ikirudi tutaipopoa kwa mawe wakitoka tu kwenye viunga vya airport.
Yah hili lifanyike faster
 
B… hii imekaaje? Na unawaongelea vipi mnaoenda kukutana nao?
Mdakuzi
B..., always michuano ya CAF mechi za away huwa ni ngumu sana kutokana na mazingira tunayowekeana tukiwa wenyeji. Ni mechi ngumu.

Ova
 
Wale galaxy wale wa msimu huu..

Wametinga makundi kwa kibabe kwa kumtoa Orlando pirates kwake.

Mechi ya kwanza ya makundi wamepata point 3 wamemfunga finalist Waydad casablanca kwake Morocco.

Naona kabisa Simba mwenye migogoro anaelekea Botswana na yeye kumpelekea Jwaneng Galaxy point 3.

Kama Orlando na Waydad wamekufa.. sioni Simba anaponaje
Mpira una maajabu mkuu ni kama Wydad kufa kwake hao vibonde Simba usishangae wanachukua point 3 hapo mpira una matokeo ya kikatili sana Galaxy wanaweza kupoteza hii gemu wakicheza kwa kujiamini ila wakiamua wafanye kweli wao mechi ya leo tu inaweza kuwafanya wafuzu maana watasubiri sare mechi mbili au washinde moja huku Asec na ndugu zake wakitafuta nafasi moja..
 
Back
Top Bottom