Simba inavuna walivyochopanda

Simba inavuna walivyochopanda

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Wakati nilipinga usajili wa Simba kwenye baadhi ya maeneo kwenye Uzi wangu mashabiki wa Simba walinitungana Sana nakuniita me ni mshabiki wa yanga eti kisa nimeenda tofauti na mitazamo yao utazani hili jukwaa ni kwaajili ya Simba na yanga pekee.


Wazungu wanasema best transfer is to keep best your players in the club ndo maana Liverpool hawajasajili mchezaji yoyote zaidi kuwabakisha wachezaji wao waliwapa mafanikio msimu uliopita Kama mo salah,mane,vvd n.k.Hiv kilikuwa na aja gani kumnunua yule straiker mbrazili wakati statistics zake za ufungaji hazirizishi au ndo ile 10% imeusika alafu unakataa kumwongezea mkataba okwi et ana dai dau kubwa wakati unamlipa huyu mbrazili Mara 2 ya dau aliloitaji okwi.


Hiv ukiwekewa niyonzima na kahata yupi utachagua? Kahata ana kipi special Cha kumzidi niyonzima? kingine ndo chanzo kikuu Cha kufeli Simba ni kumuuza kotei Bila kuleta replacement sahihi ukiangalia timu ya Simba Sasa hiv aina kabisa kiungo mkabaji, shobobo na mkude ni wazuri wakiwa na mpira ila sio wazuri wakiwa hawana mpira.


Tatizo lingine lilikuwa msimu uliopita lilikuwa backline nilitegemea msimu huu watafanyia kazi me nilitegemea watamsajili beki no 5 ya nkana alikuwa mzuri eti wamembakisha Wawa ni matumizi mabaya ya fedha Bora tu angebaki juuko kuliko Wawa


NB: Malengo walijiwekea Simba msimu huu wa kufika semi fainal ya caf champion league ufanani na usajili waliofanya wametumia hela nyingi kuwasajili wabrazili wanaoenda kukaa bench mpira wa 10% unarudisha Sana mpira wa Tanzania.
 
Mkuu washabiki wa Simba asilimia kubwa huwa hawataki kuambiwa ukweli.
Wao wanataka kila kitu kuhusu simba usifie tu.
 
Wakati nilipinga usajili wa Simba kwenye baadhi ya maeneo kwenye Uzi wangu mashabiki wa Simba walinitungana Sana nakuniita me ni mshabiki wa yanga eti kisa nimeenda tofauti na mitazamo yao utazani hili jukwaa ni kwaajili ya Simba na yanga pekee.


Wazungu wanasema best transfer is to keep best your players in the club ndo maana Liverpool hawajasajili mchezaji yoyote zaidi kuwabakisha wachezaji wao waliwapa mafanikio msimu uliopita Kama mo salah,mane,vvd n.k.Hiv kilikuwa na aja gani kumnunua yule straiker mbrazili wakati statistics zake za ufungaji hazirizishi au ndo ile 10% imeusika alafu unakataa kumwongezea mkataba okwi et ana dai dau kubwa wakati unamlipa huyu mbrazili Mara 2 ya dau aliloitaji okwi.


Hiv ukiwekewa niyonzima na kahata yupi utachagua? Kahata ana kipi special Cha kumzidi niyonzima? kingine ndo chanzo kikuu Cha kufeli Simba ni kumuuza kotei Bila kuleta replacement sahihi ukiangalia timu ya Simba Sasa hiv aina kabisa kiungo mkabaji, shobobo na mkude ni wazuri wakiwa na mpira ila sio wazuri wakiwa hawana mpira.


Tatizo lingine lilikuwa msimu uliopita lilikuwa backline nilitegemea msimu huu watafanyia kazi me nilitegemea watamsajili beki no 5 ya nkana alikuwa mzuri eti wamembakisha Wawa ni matumizi mabaya ya fedha Bora tu angebaki juuko kuliko Wawa


NB: Malengo walijiwekea Simba msimu huu wa kufika semi fainal ya caf champion league ufanani na usajili waliofanya wametumia hela nyingi kuwasajili wabrazili wanaoenda kukaa bench mpira wa 10% unarudisha Sana mpira wa Tanzania.
Mkude Ndio sio mchezaji hana uwezo hata kidogo yule Shobobo mzuri sana
 
Huu ni wakati sasa wa mnyama kujipanga kutetea ubingwa wake kwa mara ya tatu mfululizo huku wakiwaombea Yanga wa kimataifa na wauza ukwaju Azam wafike robo fainali ili mwaka ujao tena tupate sifa ya kuingiza timu nne!
 
Hamtaki kusema kitu! UCHEBE si kocha wa mbinu! Hata jana amedhihirisha hilo! Kikosi cha SIMBA cha mwaka jana hata JULIO ama MECKY MEXIME angefanikiwa... Kocha hana mbinu ndo mana CAF hakupata hata point 1 ugenini walau basi kwa mbinu zake angezuia zile tano tano!
 
Hamtaki kusema kitu! UCHEBE si kocha wa mbinu! Hata jana amedhihirisha hilo! Kikosi cha SIMBA cha mwaka jana hata JULIO ama MECKY MEXIME angefanikiwa... Kocha hana mbinu ndo mana CAF hakupata hata point 1 ugenini walau basi kwa mbinu zake angezuia zile tano tano!
 
Wakati nilipinga usajili wa Simba kwenye baadhi ya maeneo kwenye Uzi wangu mashabiki wa Simba walinitungana Sana nakuniita me ni mshabiki wa yanga eti kisa nimeenda tofauti na mitazamo yao utazani hili jukwaa ni kwaajili ya Simba na yanga pekee.


Wazungu wanasema best transfer is to keep best your players in the club ndo maana Liverpool hawajasajili mchezaji yoyote zaidi kuwabakisha wachezaji wao waliwapa mafanikio msimu uliopita Kama mo salah,mane,vvd n.k.Hiv kilikuwa na aja gani kumnunua yule straiker mbrazili wakati statistics zake za ufungaji hazirizishi au ndo ile 10% imeusika alafu unakataa kumwongezea mkataba okwi et ana dai dau kubwa wakati unamlipa huyu mbrazili Mara 2 ya dau aliloitaji okwi.


Hiv ukiwekewa niyonzima na kahata yupi utachagua? Kahata ana kipi special Cha kumzidi niyonzima? kingine ndo chanzo kikuu Cha kufeli Simba ni kumuuza kotei Bila kuleta replacement sahihi ukiangalia timu ya Simba Sasa hiv aina kabisa kiungo mkabaji, shobobo na mkude ni wazuri wakiwa na mpira ila sio wazuri wakiwa hawana mpira.


Tatizo lingine lilikuwa msimu uliopita lilikuwa backline nilitegemea msimu huu watafanyia kazi me nilitegemea watamsajili beki no 5 ya nkana alikuwa mzuri eti wamembakisha Wawa ni matumizi mabaya ya fedha Bora tu angebaki juuko kuliko Wawa


NB: Malengo walijiwekea Simba msimu huu wa kufika semi fainal ya caf champion league ufanani na usajili waliofanya wametumia hela nyingi kuwasajili wabrazili wanaoenda kukaa bench mpira wa 10% unarudisha Sana mpira wa Tanzania.
hawa viongoz wanakera kwa kwel unamuacha kotei et unambakisha wawa si ushe....n.. huu.. badala ya kutoa hela kununua wachezaj mnasubir wachezaj wa bure waliomaliza mikataba afu mnakuja na ndoto za kufika nusu fainal wakat wenzenu wananunua wachezaj kwa bilion
 
Tatizo mashabiki wengi wa Simba hawataki kukubali ukweli kuwa pamoja na mapungufu ya Kotei kwenye kupiga pasi lakini alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kupokonya mipira na kutibua mashambulizi ya adui. Kotei alificha sana madhaifu ya Mkude, Nyoni na Wawa (japo kwenye mechi ya jana Nyoni na Wawa walijitahidi sana kucheza vizuri). Kama kuna kosa lilifanyika wakati wa usajili ni kuacha kusajili beki wa kati mmoja na kiungo mkabaji mmoja wenye uwezo na kulijua soka la Afrika. Kwa mpira wa sasa hivi beki wa kati na kiungo mkabaji ndio huwa wanaanzisha mashambulizi kueleka kwenye eneo la timu pinzani ndio maana hawa watu wanatakiwa watu wa kazi zaidi na wasio watu wa mbwembwe.

Ukiangalia vizuri mechi ya jana UD Songo walikuwa wanapita zaidi katikati kwa sababu kuna shimo lilikuwa wazi kwa Mkude. Walishindwa kabisa kupita pembeni kwa sababu Gadiel na Kapombe walikuwa vizuri sana.

Wakati mwingine ujuaji wa viongozi wetu kwenye usajili ndio tatizo. Yaani suala la kumuacha Kotei linanikumbusha namna walivyomuacha Hamis Tambwe miaka ile baadae tukabaki tunalia jinsi alivyokuwa anatuadhibu.

Pia kulikuwa na haja gani ya kuwaleta wabrazili watatu kwa mpigo ilihali tunajua kuwa itabidi wakae benchi mpaka wazoee ligi yetu? Kuna haja sasa ya "MO" kuunda timu ya scouting ya hata watu watano wakiwemo wachezaji wa zamani na makocha wa Simba wapewe pesa wazunguuke kwenye ligi mbalimbali ndani na nje ya nchi kisha waushauri uongozi kwa wale wachezaji wanaowana wanafaa kuchezea Simba. Na muda mzuri wa kufanya usajili ni sasa kuingia pre contract na wachezaji wazuri maana ligi zikiisha kila mchezaji mzuri anawahiwa na klabu vigogo za Afrika kama ilivyotokea.

Ni muda muafaka sasa Kwa Simba kuwa na timu ya scouting na match analyst. Timu ya scouting kwa haraka inaweza kuonekana kama inaongeza gharama lakini iwapo itafanya kazi vizuri inaweza kupunguza gharama sana kwani unaweza kupata mchezaji bora sana ambaye hajulikani kwa gharama ndogo lakini uwanjani akakupa matokeo mazuri kuliko hata wachezaji ulisajili kwa mamilioni.
 
Back
Top Bottom