Simba inavuna walivyochopanda

Simba inavuna walivyochopanda

Team iko vizur usajil mzur tuache kulalamika sababu tu tumetolewa ,,kutolewa kwny hiz game haimanish team ni mbovu hata hivo tumedroo 1-1 hatujafungwa nyumbani mpira ni mchezo wa makosa unapokosea utaazibiwa mistek waliofanya kusababisha faulo ndio ilio tugarimu ila team ni nzur
 
Kwa kweli mimi binafsi sioni haja ya kumsajili mbrazil kwa mapesa mengi wakati kuna wachezaji lukuki africa Walichofanya simba ni ulimbukeni mtupu na ushamba. Hamkujifunza kwa yanga walivyosajili wabrazil
 
Yupo Fragha, kocha wako amemkariri Kotei ambaye pia ameshindwa kuisaidia Orlando Pirates
Jua soka la Africa Haswa South Africa, team pekee yenye nia ya kushiriki Club bingwa ni mamelod wengine wanakomaa na ligi yao mpunga unafanana na Club bingwa ndio maana Bida, kaiser, pirates wanatolewa mapema hawajali
 
Jua soka la Africa Haswa South Africa, team pekee yenye nia ya kushiriki Club bingwa ni mamelod wengine wanakomaa na ligi yao mpunga unafanana na Club bingwa ndio maana Bida, kaiser, pirates wanatolewa mapema hawajali
Du,kumbe!
 
Wakati nilipinga usajili wa Simba kwenye baadhi ya maeneo kwenye Uzi wangu mashabiki wa Simba walinitungana Sana nakuniita me ni mshabiki wa yanga eti kisa nimeenda tofauti na mitazamo yao utazani hili jukwaa ni kwaajili ya Simba na yanga pekee.


Wazungu wanasema best transfer is to keep best your players in the club ndo maana Liverpool hawajasajili mchezaji yoyote zaidi kuwabakisha wachezaji wao waliwapa mafanikio msimu uliopita Kama mo salah,mane,vvd n.k.Hiv kilikuwa na aja gani kumnunua yule straiker mbrazili wakati statistics zake za ufungaji hazirizishi au ndo ile 10% imeusika alafu unakataa kumwongezea mkataba okwi et ana dai dau kubwa wakati unamlipa huyu mbrazili Mara 2 ya dau aliloitaji okwi.


Hiv ukiwekewa niyonzima na kahata yupi utachagua? Kahata ana kipi special Cha kumzidi niyonzima? kingine ndo chanzo kikuu Cha kufeli Simba ni kumuuza kotei Bila kuleta replacement sahihi ukiangalia timu ya Simba Sasa hiv aina kabisa kiungo mkabaji, shobobo na mkude ni wazuri wakiwa na mpira ila sio wazuri wakiwa hawana mpira.


Tatizo lingine lilikuwa msimu uliopita lilikuwa backline nilitegemea msimu huu watafanyia kazi me nilitegemea watamsajili beki no 5 ya nkana alikuwa mzuri eti wamembakisha Wawa ni matumizi mabaya ya fedha Bora tu angebaki juuko kuliko Wawa


NB: Malengo walijiwekea Simba msimu huu wa kufika semi fainal ya caf champion league ufanani na usajili waliofanya wametumia hela nyingi kuwasajili wabrazili wanaoenda kukaa bench mpira wa 10% unarudisha Sana mpira wa Tanzania.
Bila 10% hatuwezi kukaa nakuishi town
 
Back
Top Bottom