Wakati nilipinga usajili wa Simba kwenye baadhi ya maeneo kwenye Uzi wangu mashabiki wa Simba walinitungana Sana nakuniita me ni mshabiki wa yanga eti kisa nimeenda tofauti na mitazamo yao utazani hili jukwaa ni kwaajili ya Simba na yanga pekee.
Wazungu wanasema best transfer is to keep best your players in the club ndo maana Liverpool hawajasajili mchezaji yoyote zaidi kuwabakisha wachezaji wao waliwapa mafanikio msimu uliopita Kama mo salah,mane,vvd n.k.Hiv kilikuwa na aja gani kumnunua yule straiker mbrazili wakati statistics zake za ufungaji hazirizishi au ndo ile 10% imeusika alafu unakataa kumwongezea mkataba okwi et ana dai dau kubwa wakati unamlipa huyu mbrazili Mara 2 ya dau aliloitaji okwi.
Hiv ukiwekewa niyonzima na kahata yupi utachagua? Kahata ana kipi special Cha kumzidi niyonzima? kingine ndo chanzo kikuu Cha kufeli Simba ni kumuuza kotei Bila kuleta replacement sahihi ukiangalia timu ya Simba Sasa hiv aina kabisa kiungo mkabaji, shobobo na mkude ni wazuri wakiwa na mpira ila sio wazuri wakiwa hawana mpira.
Tatizo lingine lilikuwa msimu uliopita lilikuwa backline nilitegemea msimu huu watafanyia kazi me nilitegemea watamsajili beki no 5 ya nkana alikuwa mzuri eti wamembakisha Wawa ni matumizi mabaya ya fedha Bora tu angebaki juuko kuliko Wawa
NB: Malengo walijiwekea Simba msimu huu wa kufika semi fainal ya caf champion league ufanani na usajili waliofanya wametumia hela nyingi kuwasajili wabrazili wanaoenda kukaa bench mpira wa 10% unarudisha Sana mpira wa Tanzania.