Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Yanga hazungumzwi sana kwa kuwa timu aliyopanga nayo ni dhaifu ukilinganisha na ubora wa yanga walionao kwa sasa hivyo wanauhakika wa kutoboa" lakini Simba anazungumzwa sana kwa kuwa ana kikosi dhaifu sana ukilinganisha na timu aliyopangwa nayo ni Bora Sana na bingwa mtetezi wanauwekezaji mkubwa"
Mpira unadunda na Inaweza kua tofauti na wanavyo fikiria Watu Simba Waondoe Presha na waone kama wanacheza na Tim Ya kawaida tu Hofu ni Mbaya sana unafungwa kabla hajacheza kwa sababu ya hofu kwahiyo bac ondoeni Hofu na Mtaufurahiya mchezo Siri kubw Ni
NB: ni kichaa tu ataamini kolo atapita [emoji23][emoji23]
RIp dunduka
Mpira unadunda na Inaweza kua tofauti na wanavyo fikiria Watu Simba Waondoe Presha na waone kama wanacheza na Tim Ya kawaida tu Hofu ni Mbaya sana unafungwa kabla hajacheza kwa sababu ya hofu kwahiyo bac ondoeni Hofu na Mtaufurahiya mchezo Siri kubw Ni
NB: ni kichaa tu ataamini kolo atapita [emoji23][emoji23]
RIp dunduka