Simba iombe Yanga isiingie makundi, ikiingia itavunja rekodi zote za nyuma

Simba iombe Yanga isiingie makundi, ikiingia itavunja rekodi zote za nyuma

Jana Al Ahyl kafa peupe na aliyemfunga ndo yule aliyepelekewa moto akiwa kwao na pira Nabi, kama haitoshi akafa moja bila.

Rekodi za Simba zipo salama as long as Yanga hajacheza gemu zake mbili dhidi ya El Merreikh.

Endeleeni kuomba tusiingie makundi.
NYIE TIMU YENU YA MWISHO KUIFUNGA NI HIYO MNAYOKUTANA NAYO RWANDA,BAADA YA HAPO MKIPITA TU MNARUDI KWENYE DEFAULT SETTING YENU YA UTOPOLO.

NI WAZI MWISHO WENU NI MAKUNDI TU.
 
Jana Al Ahyl kafa peupe na aliyemfunga ndo yule aliyepelekewa moto akiwa kwao na pira Nabi, kama haitoshi akafa moja bila.

Rekodi za Simba zipo salama as long as Yanga hajacheza gemu zake mbili dhidi ya El Merreikh.

Endeleeni kuomba tusiingie makundi.
Ndio wanachoomba hicho

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
NYIE TIMU YENU YA MWISHO KUIFUNGA NI HIYO MNAYOKUTANA NAYO RWANDA,BAADA YA HAPO MKIPITA TU MNARUDI KWENYE DEFAULT SETTING YENU YA UTOPOLO.

NI WAZI MWISHO WENU NI MAKUNDI TU.
Aahaaaaa,kumbe unaamini tutaingia makundi,basi vizuri
 
Jana Al Ahyl kafa peupe na aliyemfunga ndo yule aliyepelekewa moto akiwa kwao na pira Nabi, kama haitoshi akafa moja bila.

Rekodi za Simba zipo salama as long as Yanga hajacheza gemu zake mbili dhidi ya El Merreikh.

Endeleeni kuomba tusiingie makundi.
Simba hatuna maombi ya kichawi hivo shindeni kama mnashindwa
Nampigwe
 
Ila wewe nawe unaonesha jinsi gani ulivyokuwa haufatilii mpira. Mechi ya Simba bado mwezi mzima mbele ndio apumzishe wachezaji leo kwasjili ya mechi ya mwezi ujao? Ulidanganywa kuwa Al Ahly hatocheza mchezo wowote ule iwe klabu bingwa au ligi kuu mpaka atakapocheza na Simba? Umewaza ovyo sana aisee
Unafikiri Al Ahyl hawajaona jinsi Kibu D alimpelekea moto mdaka mishale
 
Yanga hawa akina Musonda na Konkon ndio wasiwasi ulipo, mbali na hapo tuna kikosi kikali sana.
 
Japo sipendi Simba,ila kimpira zaidi na maendeleo ya mpira wetu kiujumla naombea wote tuingie makundi

Home games za timu zote mbili zitatoa picha ya nani ni mkubwa kati yetu kimataifa
Picha ya nani Mkubwa kimataifa mbona ishatolewa na CAF mzee, ndio maana kuna wengine wanaanzia round za awali huku Simba na wababe wengine kama Ahly, Raja, Mamelodi waikianza round ya pili
 
Simba ilimfunga yanga 2-0 kwa kufata hayo matokeo Simba bado ni mbabe tu wa hizo timu maana Kama Simba anapiga kibonde yanga 2 na hiyo timu ilisumbuliwa na yanga Basi wakikutana na Simba wahesabu maumivu
 
Picha ya nani Mkubwa kimataifa mbona ishatolewa na CAF mzee, ndio maana kuna wengine wanaanzia round za awali huku Simba na wababe wengine kama Ahly, Raja, Mamelodi waikianza round ya pili
Hizo zilipendwa
 
AMA KWELI WENYE AKILI NI WAWILI TU 2.

Hivi mashabiki WA Simba au mashabiki WA Yanga kazi Yao iwe ni kuombeana mabaya tu???????

Fungua akili yako achana na Mawazo mgado , ELIMU ELIMU ELIMU................soma.

ELIMU ni ukombozi UJINGA ni MZIGO

YESU KRISTO AKUOKOE NA UPUMBAVU ULIO NAO....
 
Back
Top Bottom