Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Tukisema Magungu na Try Again ni wapigaji watu wanasema tunawaonea.
Hadi leo hakuna mchangunuo wa hela waliyochangisha mashabiki kwa ajili ya uwanja. Haieleweki uwanja umeisha na hakuna feedback.
Mo ni mwekezaji mjanja matangazo mengi kwenye jezi,haijulikani yale matangazo kama analipia, Imagine mbet kwa tangazo moja wanalipia almost bil 5, yeye ana matangazo karibia 4 kwenye jezi, hiyo ina maana ile bil 20 aliyoweka kama ni kweli kairudisha kwenye matangazo na faida juu,sasa kaweka nini?
Hayo yote yanapitishwa na Magungu,Try Again na Kajuni, ndo maana Babra alikuwa akiongea kwa mafumbo akajiuzulu maana anajua upigaji.
Hakuna wachezaji wa maana wanaongeza tu sifuri kwenye kununua ndo maana unaona haya matokeo. Watu wamepiga kelele misimu iliyopita kuhusu Matola mzee wa kula 20 percent kwa wachezaji wa ndani now wamemrudisha sahau kama kina Bocco wataachwa.
Hela za bahati nasibu ya Shabiki Bingwa na Mfalme bingwa hakuna mchanganuo watu wanaunda tu kitu na kupitisha hakuna hata kwenye agenda za vikao halafu wanapiga pesa hamna usajili wa maana, hizo hela zinafanyiwa nini? Magungu akipata chake wakigawana kila mtu anakula bati,zinabuniwa tu mbinu za upigaji.
Wamedharau ligi kwa vile haina hela ikija michezo ya kimataifa macho yote pale watajikakamua ili wapige mgawo wa CAF na hata kama Mudy alisusia basi ataanza tena kama anajituma vile,hizo hela hamna feedback,hufanyi usajili wa maana na umekula mabilion ya club bingwa na African football league.
Mechi inapokuja iwe ya ndani au kimataifa Simba wataweka juhudi kwenye promo ili mashabiki wajitokeze wapige hela ya viingilio, misimu 5 simba inajaza uwanja na hakuna siku wameingiza mashabiki bure ila hakuna usajili wa maana hela zinaenda wapi?
Hawana mtu wa maana kwenye scouting, wamemweka mzungu wanasema ni professional matata sana, ukifuatilia hana historia ni shabiki tu wa Simba ambaye ana biashara zake za kilimo Mbeya na Iringa.
Tuanze na viongozi tusilaumu wachezaji .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi leo hakuna mchangunuo wa hela waliyochangisha mashabiki kwa ajili ya uwanja. Haieleweki uwanja umeisha na hakuna feedback.
Mo ni mwekezaji mjanja matangazo mengi kwenye jezi,haijulikani yale matangazo kama analipia, Imagine mbet kwa tangazo moja wanalipia almost bil 5, yeye ana matangazo karibia 4 kwenye jezi, hiyo ina maana ile bil 20 aliyoweka kama ni kweli kairudisha kwenye matangazo na faida juu,sasa kaweka nini?
Hayo yote yanapitishwa na Magungu,Try Again na Kajuni, ndo maana Babra alikuwa akiongea kwa mafumbo akajiuzulu maana anajua upigaji.
Hakuna wachezaji wa maana wanaongeza tu sifuri kwenye kununua ndo maana unaona haya matokeo. Watu wamepiga kelele misimu iliyopita kuhusu Matola mzee wa kula 20 percent kwa wachezaji wa ndani now wamemrudisha sahau kama kina Bocco wataachwa.
Hela za bahati nasibu ya Shabiki Bingwa na Mfalme bingwa hakuna mchanganuo watu wanaunda tu kitu na kupitisha hakuna hata kwenye agenda za vikao halafu wanapiga pesa hamna usajili wa maana, hizo hela zinafanyiwa nini? Magungu akipata chake wakigawana kila mtu anakula bati,zinabuniwa tu mbinu za upigaji.
Wamedharau ligi kwa vile haina hela ikija michezo ya kimataifa macho yote pale watajikakamua ili wapige mgawo wa CAF na hata kama Mudy alisusia basi ataanza tena kama anajituma vile,hizo hela hamna feedback,hufanyi usajili wa maana na umekula mabilion ya club bingwa na African football league.
Mechi inapokuja iwe ya ndani au kimataifa Simba wataweka juhudi kwenye promo ili mashabiki wajitokeze wapige hela ya viingilio, misimu 5 simba inajaza uwanja na hakuna siku wameingiza mashabiki bure ila hakuna usajili wa maana hela zinaenda wapi?
Hawana mtu wa maana kwenye scouting, wamemweka mzungu wanasema ni professional matata sana, ukifuatilia hana historia ni shabiki tu wa Simba ambaye ana biashara zake za kilimo Mbeya na Iringa.
Tuanze na viongozi tusilaumu wachezaji .
Sent using Jamii Forums mobile app