Simba ipo Msimbazi Yanga wapo wapi?

Simba ipo Msimbazi Yanga wapo wapi?

Nionyeshe hata chocho lolote nchi hii achilia mbali mtaa ambao umepewa jina la Utopolo? Kimbiji kwenyewe mnakaa mji wa Avic ambaye usishangae kukuta naye ni mnyama
Mbumbumbu fc, ndiyo maana manauliza mapato na matumizi humu badala ya vikao tatizo la simba ni wanachama kama wapo, yaani hamjui hata kama club imeuzwa, swali fikirishi kama haijauzwa kwanini muulize mapato na matumizi huku jf,
 
Twiga na Jangwani. Vinahusiana vipi na jina la Yanga? Kwa hiyo Mzee Magoma enzi zao walishindwa kubadili eneo hilo likaitwa Yanga? Anyway, wanasema usiamshe waliolala.
Mkuu
Hapo Lilipo Jengo La Yanga Umefika Lakini
Achana Na Mzee Wetu Ally Magoma
 
Kwa hiyo Mzee Magoma enzi zao walishindwa kubadili eneo hilo likaitwa Yanga? Anyway, wanasema usiamshe waliolala.

Mbona unahoja za kitoto sana? Unataka kusema pale Msimbazi kunaitwa Simba? Sasa kama pale Msimbazi hakuitwi Simba kwanini unataka kulazimisha pale Jangwani paitwe Yanga? Simba wapo mtaa wa Msimbazi ndio maana wanataniwa kama wazee wa Msimbazi au wekundu wa Msimbazi huku Yanga wakiwa wanatokea mitaa ya Jangwani ndio maana wanajulikana kama wazee wa Jangwani.
 
Mbona unahoja za kitoto sana? Unataka kusema pale Msimbazi kunaitwa Simba? Sasa kama pale Msimbazi hakuitwi Simba kwanini unataka kulazimisha pale Jangwani paitwe Yanga? Simba wapo mtaa wa Msimbazi ndio maana wanatania kama wazee wa Msimbazi au wekundu wa Msimbazi huku Yanga wakiwa wanatokea mitaa ya Jangwani ndio maana wanajulikana kama wazee wa Jangwani.
Yaani wanataka yanga iitwe jangwani fc kwasababu iko jangwani ni akili taahilra
 
Mbona Simba haitwi Msimbazi fc kwavile ipo Msimbazi? Ndio maana nikasema anatoa hoja za kitoto
Threads ziwe zinaanzishwa na watu wenye kuweza kujenga hoja, sitaki kuongea maneno halisi ambayo yanaweza kuwa ya kuudhi, lakini yenye uwakilishi sahihi, (shallow minds discuss about events and people)
 
Simba ndiyo timu pekee ya ligi kuu Tanzania ambayo makao yake makuu yapo eneo ambalo jina la eneo limebebwa na jina la klabu hiyo, tena zaidi ni eneo hot kibiashara na kiuchumi.

Najiuliza hawa wengine wako wapiii? Ninavyojua mimi, Jangwani ni maarufu zaidi kwa ile shule maarufu ya wanawake aliyowahi kusoma dada yangu. Au hii Yanga ni timu ya shule ya sekondari Jangwani halafu hatuambiwi?

Ngoja mchakato wa umiliki ukae sawa, tutaangusha PLAZA moja matata sana pale Kariakoo tukiweka sanamu ya mnyama pale nje.
Wapo Oldtraford
 
Wapo Oldtraford
Si umeona eeh. Vilabu vyenye historia ya maana maeneo yao yanaakisi historia yao. Sasa hawa wenzetu wapo mtaa wa Twiga na Jangwani, uwanja wa Kaunda, kule Kimbiji wanapromote mji wa Bwana Avic, ndiyo maana kina Magoma wanapata ujasiri wa kuidai timu mahakamani maana ipo ipo tu.
 
Threads ziwe zinaanzishwa na watu wenye kuweza kujenga hoja, sitaki kuongea maneno halisi ambayo yanaweza kuwa ya kuudhi, lakini yenye uwakilishi sahihi, (shallow minds discuss about events and people)
Tujikite kwenye mada, tuache personal attacks
 
Mbona unahoja za kitoto sana? Unataka kusema pale Msimbazi kunaitwa Simba? Sasa kama pale Msimbazi hakuitwi Simba kwanini unataka kulazimisha pale Jangwani paitwe Yanga? Simba wapo mtaa wa Msimbazi ndio maana wanatania kama wazee wa Msimbazi au wekundu wa Msimbazi huku Yanga wakiwa wanatokea mitaa ya Jangwani ndio maana wanajulikana kama wazee wa Jangwani.
MSIMBAZI. Kuona hauoni na kusikia je?
 
Tujikite kwenye mada, tuache personal attacks
Self-image nitabia ambayo mtu anaijenga kwa muda mrefu kuibadilisha ni ngumu, siwezi kufikiri unavyota wewe yaani kampuni zote zikianzishwa zibebe jina la eneo husika? Ama ziakisi jina la eneo husika
 
Self-image nitabia ambayo mtu aijenga kwa muda mrefu kuibadilisha ni ngumu
Mbona unatema viingereza vingi visivyohusiana na mada bwashee? Au unaongelea self-image waliyojijengea wanasimba ya kujiamini kutokana na historia na mafanikio ya timu yao?
 
Mbona unatema viingereza vingi visivyohusiana na mada bwashee? Au unaongelea self-image waliyojijengea wanasimba ya kujiamini kutokana na historia na mafanikio ya timu yao?
Self-image nitabia ya kibinafsi, wengine husema mtizamo nimeandika na kutafsiri
 
Self-image nitabia ya kibinafsi, wengine husema msimamo nimeandika na kutafsiri
Ndiyo. Sasa inahusiana vipi na mada hii au tafsiri yangu pia ni sahihi? Nimefanya social inference.
 
Ndiyo. Sasa inahusiana vipi na mada hii au tafsiri yangu pia ni sahihi? Nimefanya social inference.
Huelewi maana ya social inference, social inference ni ujuzi alio nao mtu ambaye ataliangalio hoja ama tatizo na kulitolea ufumbuzi ambapo huyo mtu lazima awe na taaluma hiyo
 
Huelewi maana ya social inference, social inference ni ujuzi alio nao mtu ambaye ataliangalio hoja ama tatizo na kulitolea ufumbuzi ambapo huyo mtu lazima awe na taaluma hiyo
Ala. Kumbe wewe ndiyo unatumia maneno usiyoyaelewa na unayapa tafsiri yako!
 
MSIMBAZI. Kuona hauoni na kusikia je?
Msimbazi ni Msimbazi na Simba ni Simba. Hakuna uhusiano wa mtaa na jina la timu na ndio maana umeona kuna picha ya Simba kwenye logo ya timu. Simba iliyokusudiwa hapo ni lion kwa lugha nyingine
 
Back
Top Bottom