Simba ipo Msimbazi Yanga wapo wapi?

Simba ipo Msimbazi Yanga wapo wapi?

Msimbazi ni Msimbazi na Simba ni Simba. Hakuna uhusiano wa mtaa na jina la timu na ndio maana umeona kuna picha ya Simba kwenye logo ya timu. Simba iliyokusudiwa hapo ni lion kwa lugha nyingine
Kwa nini sasa na nyie badala ya kuitwa Twiga mkaamua kuitwa Chura au kwa sababu mmeamua kuishi matopeni?
 
Kuchelewa kujua siyo ujinga, ila ujinga ni kuto taka kujifunza similarly if you do learn you will not earn
Unaongea viingereza vingi sana bwashee. Itakuwa umesoma sana wewe, kiingereza kinatiririka tu kama maji.

Nadhani ulimaanisha "if you do not learn, you will not earn". Nadhani ni typo tu hiyo, au na hili nalazimisha maana? Tumewazoea na makosa yenu ya kibinadamu.
 
Kwa nini sasa na nyie badala ya kuitwa Twiga mkaamua kuitwa Chura au kwa sababu mmeamua kuishi matopeni?
Umeona unavyoamua kujiabisha baada ya kujiona huna hoja? Naishia hapo naona akili imeshakukaa sawa na kujiona hukuwa na hoja ya msingi. Ni vile tu humu wana ruhusu kila aina ya watu waanzishe uzi ndio maana unaongoza kwa pumba humu jukwaani.
 
Umeona unavyoamua kujiabisha baada ya kujiona huna hoja? Naishia hapo naona akili imeshakukaa sawa na kujiona hukuwa na hoja ya msingi. Ni vile tu humu wana ruhusu kila aina ya watu waanzishe uzi ndio maana unaongoza kwa pumba humu jukwaani.
Povu lote hili linatosha kuoshea vyombo hapo geto
 
Siku JSM akiibwaga timu ndio mbichi zitajulikana. Kuna watu siku hiyo hiyo watafungisha virago
 
Simba ndiyo timu pekee ya ligi kuu Tanzania ambayo makao yake makuu yapo eneo ambalo jina la eneo limebebwa na jina la klabu hiyo, tena zaidi ni eneo hot kibiashara na kiuchumi.

Najiuliza hawa wengine wako wapiii? Ninavyojua mimi, Jangwani ni maarufu zaidi kwa ile shule maarufu ya wanawake aliyowahi kusoma dada yangu. Au hii Yanga ni timu ya shule ya sekondari Jangwani halafu hatuambiwi?

Ngoja mchakato wa umiliki ukae sawa, tutaangusha PLAZA moja matata sana pale Kariakoo tukiweka sanamu ya mnyama pale nje.
Msimbazi - Mto Mbezi
 
Simba = M'simbazi
Yanga = M'yangazi

Myangazi kwa kiswahili ndio mshangazi,
Mshangazi akiwa mmoja, wakianzia wawili wanakuwa mishangazi.

Hivyo hao ni MISHANGAZI.

😂🤣
 
Ninachojua mimi Msimbazi ni kituo cha polisi, Sasa ukisema 5imba wapo Msimbazi najiuliza wamefanya kosa gani? Au ni baada ya kutoa sare na al hilal pungufu?
 
Simba ndiyo timu pekee ya ligi kuu Tanzania ambayo makao yake makuu yapo eneo ambalo jina la eneo limebebwa na jina la klabu hiyo, tena zaidi ni eneo hot kibiashara na kiuchumi.

Najiuliza hawa wengine wako wapiii? Ninavyojua mimi, Jangwani ni maarufu zaidi kwa ile shule maarufu ya wanawake aliyowahi kusoma dada yangu. Au hii Yanga ni timu ya shule ya sekondari Jangwani halafu hatuambiwi?

Ngoja mchakato wa umiliki ukae sawa, tutaangusha PLAZA moja matata sana pale Kariakoo tukiweka sanamu ya mnyama pale nje.
Msimbazi na simba havina uhusiano wowote kilugha
 
Simba = M'simbazi
Yanga = M'yangazi

Myangazi kwa kiswahili ndio mshangazi,
Mshangazi akiwa mmoja, wakianzia wawili wanakuwa mishangazi.

Hivyo hao ni MISHANGAZI.

😂🤣
Kwa utafiti wangu niliofanya, Yanga ilianza kama timu ya shule ya sekondari ya Jangwani. Baadae wazee, hawa kina Mzee Magoma ndiyo wakaichukua na ili kuficha ushahidi wakabadili na jina lake ndiyo wakaja na jina hilo la ajabu lisilo na historia na eneo klabu ilipo.
 
Kwa utafiti wangu niliofanya, Yanga ilianza kama timu ya shule ya sekondari ya Jangwani. Baadae wazee, hawa kina Mzee Magoma ndiyo wakaichukua na ili kuficha ushahidi wakabadili na jina lake ndiyo wakaja na jina hilo la ajabu lisilo na historia na eneo klabu ilipo.
Kama ilikuwa timu ya wadada wa jangwani, basi bado ni MISHANGAZI FC.
 
Wanaokaa Mabondeni Waondoke...!

Wakisombwa na MAFURIKO hakuna Fidia...

Wapo Waliopewa Viwanja Mabwepande.! Hivi YANGA hawakupewa kiwanja Kule Mabwepande?
 
Simba ndiyo timu pekee ya ligi kuu Tanzania ambayo makao yake makuu yapo eneo ambalo jina la eneo limebebwa na jina la klabu hiyo, tena zaidi ni eneo hot kibiashara na kiuchumi.

Najiuliza hawa wengine wako wapiii? Ninavyojua mimi, Jangwani ni maarufu zaidi kwa ile shule maarufu ya wanawake aliyowahi kusoma dada yangu. Au hii Yanga ni timu ya shule ya sekondari Jangwani halafu hatuambiwi?

Ngoja mchakato wa umiliki ukae sawa, tutaangusha PLAZA moja matata sana pale Kariakoo tukiweka sanamu ya mnyama pale nje.
We kweli pimbi aliikwambumia msimbaz ni simba nan ndio tatizi ka kuja mjini kuchelewa msimbaz ni mto au kwa kua unaona wanaitwa wana wa msimbaz na young african wanaitwa wana wa jangwan na hilo jengo ni la quen ndio umiliki wake wa kwanza ikaja sandaland hadi leo hati inasomeka hivyo labda wawe wamebadili mwaka huu na ndio maana unaoan hawana la kufaya sigara walitaka kuwapa eneo lao maduka mawili wao wachukua msimbaz kwa ajili ya biashara wakakwama sababu ya umiliki
 
Back
Top Bottom