Simba ipo Msimbazi Yanga wapo wapi?

Simba ipo Msimbazi Yanga wapo wapi?

Hawa ndio wajumbe kwenye mkutano mkuu wa club 😢😢 miaka 10 hatupati kitu
 
Simba ndiyo timu pekee ya ligi kuu Tanzania ambayo makao yake makuu yapo eneo ambalo jina la eneo limebebwa na jina la klabu hiyo, tena zaidi ni eneo hot kibiashara na kiuchumi.

Najiuliza hawa wengine wako wapiii? Ninavyojua mimi, Jangwani ni maarufu zaidi kwa ile shule maarufu ya wanawake aliyowahi kusoma dada yangu. Au hii Yanga ni timu ya shule ya sekondari Jangwani halafu hatuambiwi?

Ngoja mchakato wa umiliki ukae sawa, tutaangusha PLAZA moja matata sana pale Kariakoo tukiweka sanamu ya mnyama pale nje.
hata kama hatuna makao ila kwenye pitch mpakato wa max,aziz na pacome hamuwezi kuukwepa makolo nyie...subiri project la pale jangwani likamilike ndo mtajua kwamba levo zenu ni KMC tu nchi hii
 
hata kama hatuna makao ila kwenye pitch mpakato wa max,aziz na pacome hamuwezi kuukwepa makolo nyie...subiri project la pale jangwani likamilike ndo mtajua kwamba levo zenu ni KMC tu nchi hii
Eti nini? Project la jangwani? Kila siku mnapigwa tarehe. Niliwaambia zile ni ahadi hewa mkaniona mimi mjinga, kiko wapi sasa?
 
Ninachojua mimi Msimbazi ni kituo cha polisi, Sasa ukisema 5imba wapo Msimbazi najiuliza wamefanya kosa gani? Au ni baada ya kutoa sare na al hilal pungufu?
Ndiyo mpira huo. Kuna mifano mingi ya timu kuwa pungufu na kushinda mechi, ikiwemo Simba pungufu kumfunga Yanga
 
Eti nini? Project la jangwani? Kila siku mnapigwa tarehe. Niliwaambia zile ni ahadi hewa mkaniona mimi mjinga, kiko wapi sasa?
project ya jangwani sio ya km ya b20 ambazo zimekuwa za janja janja kumbe hazipo popote jangwani kuna project kama ya b100+ sasa lazma mipango ichukue mda vilazinyo hamuwezi kuelewa
 
project ya jangwani sio ya km ya b20 ambazo zimekuwa za janja janja kumbe hazipo popote jangwani kuna project kama ya b100+ sasa lazma mipango ichukue mda vilazinyo hamuwezi kuelewa
Hahha. Amka bloo utumie choo kabla haujachafua shuka
 
Simba iko hapa,

1723421109923-png.3067404


na Yanga iko hapa

1725477236330.png
 
Twiga na Jangwani. Vinahusiana vipi na jina la Yanga? Kwa hiyo Mzee Magoma enzi zao walishindwa kubadili eneo hilo likaitwa Yanga? Anyway, wanasema usiamshe waliolala.
Hebu ficha upumbavu wako, kwahiyo kariakoo mtaa wa Msimbazi ndio jina la Simba?

Au upo Kibondo na hujawahi kukanyaga Dar?
 
Simba ndiyo timu pekee ya ligi kuu Tanzania ambayo makao yake makuu yapo eneo ambalo jina la eneo limebebwa na jina la klabu hiyo, tena zaidi ni eneo hot kibiashara na kiuchumi.

Najiuliza hawa wengine wako wapiii? Ninavyojua mimi, Jangwani ni maarufu zaidi kwa ile shule maarufu ya wanawake aliyowahi kusoma dada yangu. Au hii Yanga ni timu ya shule ya sekondari Jangwani halafu hatuambiwi?

Ngoja mchakato wa umiliki ukae sawa, tutaangusha PLAZA moja matata sana pale Kariakoo tukiweka sanamu ya mnyama pale nje.
Plaza kwenye kiwanja cha 20x20?
 
Back
Top Bottom