Yehoshafati
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 298
- 596
Sasa msimbazi si jina la mtaa linausianaje na Simba? Kama ni hivyo unavyotaka mngeitwa Msimbazi fc na siyo simbaMSIMBAZI. Kuona hauoni na kusikia je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa msimbazi si jina la mtaa linausianaje na Simba? Kama ni hivyo unavyotaka mngeitwa Msimbazi fc na siyo simbaMSIMBAZI. Kuona hauoni na kusikia je?
hata kama hatuna makao ila kwenye pitch mpakato wa max,aziz na pacome hamuwezi kuukwepa makolo nyie...subiri project la pale jangwani likamilike ndo mtajua kwamba levo zenu ni KMC tu nchi hiiSimba ndiyo timu pekee ya ligi kuu Tanzania ambayo makao yake makuu yapo eneo ambalo jina la eneo limebebwa na jina la klabu hiyo, tena zaidi ni eneo hot kibiashara na kiuchumi.
Najiuliza hawa wengine wako wapiii? Ninavyojua mimi, Jangwani ni maarufu zaidi kwa ile shule maarufu ya wanawake aliyowahi kusoma dada yangu. Au hii Yanga ni timu ya shule ya sekondari Jangwani halafu hatuambiwi?
Ngoja mchakato wa umiliki ukae sawa, tutaangusha PLAZA moja matata sana pale Kariakoo tukiweka sanamu ya mnyama pale nje.
Pale pamejaa wamachinga pale, hamna wafanyabiashara, tena zaidi ni eneo hot kibiashara na kiuchumi
Eti nini? Project la jangwani? Kila siku mnapigwa tarehe. Niliwaambia zile ni ahadi hewa mkaniona mimi mjinga, kiko wapi sasa?hata kama hatuna makao ila kwenye pitch mpakato wa max,aziz na pacome hamuwezi kuukwepa makolo nyie...subiri project la pale jangwani likamilike ndo mtajua kwamba levo zenu ni KMC tu nchi hii
Ndiyo mpira huo. Kuna mifano mingi ya timu kuwa pungufu na kushinda mechi, ikiwemo Simba pungufu kumfunga YangaNinachojua mimi Msimbazi ni kituo cha polisi, Sasa ukisema 5imba wapo Msimbazi najiuliza wamefanya kosa gani? Au ni baada ya kutoa sare na al hilal pungufu?
project ya jangwani sio ya km ya b20 ambazo zimekuwa za janja janja kumbe hazipo popote jangwani kuna project kama ya b100+ sasa lazma mipango ichukue mda vilazinyo hamuwezi kuelewaEti nini? Project la jangwani? Kila siku mnapigwa tarehe. Niliwaambia zile ni ahadi hewa mkaniona mimi mjinga, kiko wapi sasa?
Hahha. Amka bloo utumie choo kabla haujachafua shukaproject ya jangwani sio ya km ya b20 ambazo zimekuwa za janja janja kumbe hazipo popote jangwani kuna project kama ya b100+ sasa lazma mipango ichukue mda vilazinyo hamuwezi kuelewa
Hebu ficha upumbavu wako, kwahiyo kariakoo mtaa wa Msimbazi ndio jina la Simba?Twiga na Jangwani. Vinahusiana vipi na jina la Yanga? Kwa hiyo Mzee Magoma enzi zao walishindwa kubadili eneo hilo likaitwa Yanga? Anyway, wanasema usiamshe waliolala.
Hilo jengo la juu mtaa wa Msimbazi lina tofauti gani na magofu ya Kaole?
Plaza kwenye kiwanja cha 20x20?Simba ndiyo timu pekee ya ligi kuu Tanzania ambayo makao yake makuu yapo eneo ambalo jina la eneo limebebwa na jina la klabu hiyo, tena zaidi ni eneo hot kibiashara na kiuchumi.
Najiuliza hawa wengine wako wapiii? Ninavyojua mimi, Jangwani ni maarufu zaidi kwa ile shule maarufu ya wanawake aliyowahi kusoma dada yangu. Au hii Yanga ni timu ya shule ya sekondari Jangwani halafu hatuambiwi?
Ngoja mchakato wa umiliki ukae sawa, tutaangusha PLAZA moja matata sana pale Kariakoo tukiweka sanamu ya mnyama pale nje.
Msamehe bure mtu yupo Rusumo huko anajifanya anaujua DarPlaza kwenye kiwanja cha 20x20?