Okoth p'Bitek
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,124
- 1,384
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi ni akili za utopolo kubishana ni matumizi mabaya ya rasilimali muda. Mimi naweza kununulia jezi zote tatu za timu yako ya ulaya (home away n neutral)ukaletewa na DHL nyumbani kwa shemeji yako unapokaa mpuuzi mmoja wewe
Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
Kumbe hata kununua jezi ya dollar 80 huwezi
Acha majungu piga kazi
Wewe ni mpu.mbavu. Unajua mashabiki wengi wa mpira ni watu wa class gani? Ukilijua hilo huwezi kuandika upuuzi kama huo ulioandika.
Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kununua jersey ya $80 akaja kujisifia hapa. Acha kudanganya watu wewe,uwezo huo huna.
Ni kweli!ila simba since wameanza kufanya vizuri kimataifa imeongeza value na uhitaji,timu zetu zimekua zinakosea katika launching..mfano wanafanya uzinduzi wa jersey leo dar,then mikoani inabidi mtu aagize dar,wakati wangeweza sambaza jersey mikoa yote then inafanyika live launching kwa pamoja lazima wauze...mtu ikishapita week hana jersey hata hamu ya kununua inaisha..so wajaribu kufanya exclusive launching mikoa yote ina maana kila mikoa tuassume uuze pc 100 kila mkoa siku ya kwanza inapush...changamoto nyingine waweke grades tofauti ili kuchuana na jersey fakeda wabongo sie wakali sana wa mahesabu za kurahisisha,, yaani mtu keshampigia jamaa ataingiza 7b... hv purchasing power ya watu wa mpira huku kwetu ikoje.. hapo achilia mbali counterfis zinazouzwa buku 10. unaweza ukaona jamaa wataingiza pesa nyingi ila gharama za kuipata hiyo pesa nyingi ni kubwa pia.
ukumbuke kuna promo kubwa lazima ifanywe kila siku iitwayo leo . na ununuaj wetu wa jersy sio mkubwa. naamnin kuna wachache ambao wananunua jearsy msimu kwa msimu . kina sie hadi iliopo ichoke kwanza ndo tujipange kwa jersy mpya
muulizen GSM alivyokuwa anahaha na jearsy za mwaka jana na huu.. msimu mpya ulifika kwenye stock akawa na jersy za zaman. hadi leo zipo. na aamin hata simba pia. bado hatuna ile tabia ya kununua jearsy kwa ajili ya kumbukumbu. tunanunua kama vazi la kawaida .. so had ichoke ndio ipishane na mpya
hii biashara acha tuishangilie huku nje ila .. inahitaj financial muscles kuiendesha na promo nyingi