Simba is Business, Business is Simba

Simba is Business, Business is Simba

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi ni akili za utopolo kubishana ni matumizi mabaya ya rasilimali muda. Mimi naweza kununulia jezi zote tatu za timu yako ya ulaya (home away n neutral)ukaletewa na DHL nyumbani kwa shemeji yako unapokaa mpuuzi mmoja wewe

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app

Kajifunze kuandika kwanza
Ukimaliza uje tu pop champagne [emoji23][emoji23]
 
Kuna vitu vya msingi sana kuviunga mkono likiwemo hili
Ivi una queation vipi mchakato kama huu ambao ulikuwa open kabisa ?

Shida bongo tuna fitina sanaa sasa mtu unaajiuliza leo simba anaingiza 1B na mzabun wa zaman alikuwa analipa 200 sasa mpigie mahesabu huyu aliyekuwa analipa mil 200 je alikuwa anafyatua jezi kiasi gan ? Bei ya jezi ya simba original ni 25>30k
Hapo hesabu ni kwamba awal simba alikuwa analiwa kweupeee sasa ni bora hii 1B kwa kuanzia then wataangalia thaman ya brand

Hapo hesabu
 
Wewe ni mpu.mbavu. Unajua mashabiki wengi wa mpira ni watu wa class gani? Ukilijua hilo huwezi kuandika upuuzi kama huo ulioandika.

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app

Huyu hana lolote,mtu mwenye huo uwezo wala hawezi leta dharau kwa walio na kipato cha chini,achana nae Mkuu anakupotezea muda tu huyo.
 
da wabongo sie wakali sana wa mahesabu za kurahisisha,, yaani mtu keshampigia jamaa ataingiza 7b... hv purchasing power ya watu wa mpira huku kwetu ikoje.. hapo achilia mbali counterfis zinazouzwa buku 10. unaweza ukaona jamaa wataingiza pesa nyingi ila gharama za kuipata hiyo pesa nyingi ni kubwa pia.

ukumbuke kuna promo kubwa lazima ifanywe kila siku iitwayo leo . na ununuaj wetu wa jersy sio mkubwa. naamnin kuna wachache ambao wananunua jearsy msimu kwa msimu . kina sie hadi iliopo ichoke kwanza ndo tujipange kwa jersy mpya

muulizen GSM alivyokuwa anahaha na jearsy za mwaka jana na huu.. msimu mpya ulifika kwenye stock akawa na jersy za zaman. hadi leo zipo. na aamin hata simba pia. bado hatuna ile tabia ya kununua jearsy kwa ajili ya kumbukumbu. tunanunua kama vazi la kawaida .. so had ichoke ndio ipishane na mpya

hii biashara acha tuishangilie huku nje ila .. inahitaj financial muscles kuiendesha na promo nyingi
Ni kweli!ila simba since wameanza kufanya vizuri kimataifa imeongeza value na uhitaji,timu zetu zimekua zinakosea katika launching..mfano wanafanya uzinduzi wa jersey leo dar,then mikoani inabidi mtu aagize dar,wakati wangeweza sambaza jersey mikoa yote then inafanyika live launching kwa pamoja lazima wauze...mtu ikishapita week hana jersey hata hamu ya kununua inaisha..so wajaribu kufanya exclusive launching mikoa yote ina maana kila mikoa tuassume uuze pc 100 kila mkoa siku ya kwanza inapush...changamoto nyingine waweke grades tofauti ili kuchuana na jersey fake
 
Back
Top Bottom