Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Niwakumbushe tu kuwa Mamelodi Sundowns analipwa Rand Million 20 kwa Mwaka ni ni sawa na Rand Million 60 kwa mitatu kutoka Kampuni ya PUMA.
Mamelodi alipomaliza mkataba wake na NIKE hakuongeza tena na alitaka dili jipya lenye maslahi zaidi, hivyo PUMA anawapa sawa na BILLION MOJA kwa Mwaka.
Simba leo wamesaini mkataba na VUNJABEI nadhani ndio mkataba ghali zaidi kwa ukanda huu wa maziwa Makuu na hata kwa klabu za Afrika Kusini baadhi hazigusi mkataba huu mnono.
Simba atapokea BILLION MBILI, kwa miaka miwili ni sawa na MAMELODI ambaye pia anapokea BILLION kwa mwaka, nadhani tumeanza kuelewa thamani ya huu mkataba mkubwa.
Nadhani tumeanza kuelewa maana ya safari za Barbra kwenda Al Ahly na Mamelodi, hao ndio magwiji wa Afrika Kwenye mikataba ya hatari na mikubwa ya kibiashara barani Afrika, bila shaka kuna somo kalipata.
Mkataba huu ni hatarishi kwa SPORTPESA, Sote tunatambua kuwa SPORTPESA ndie Mdhamini Mkuu wa Simba, lakini kwasasa kazidiwa pesa Kwenye vitabu vya Simba kutoka kwa Vunjabei kwa hii BILLION MBILI
Maana yake ni nini? Thamani ya Simba imepanda maradufu, kama Sportpesa watataka kusalia kwa kandarasi mpya baada ya mwanzo kuisha ni lazima waanzie hapo kwenye Billion Mbili, hata Kampuni zingine lazima zianzie hapo kwenda mbele.
Wakati mpira unakuwa na Simba sasa inaenda mbele zaidi, hakuna kampuni itaenda kujadiliana na Simba kiwepesi sasa hivi, hiyo ni kanuni ya soko ELASTICITY OF THE BUSINESS, tayari Simba kuna hatua wamepiga.
Kwa Vunjabei tayari ana soko kubwa sana, anajua kuhusu Mavazi, mwisho hii ni WIN WIN SITUATION.
Mamelodi alipomaliza mkataba wake na NIKE hakuongeza tena na alitaka dili jipya lenye maslahi zaidi, hivyo PUMA anawapa sawa na BILLION MOJA kwa Mwaka.
Simba leo wamesaini mkataba na VUNJABEI nadhani ndio mkataba ghali zaidi kwa ukanda huu wa maziwa Makuu na hata kwa klabu za Afrika Kusini baadhi hazigusi mkataba huu mnono.
Simba atapokea BILLION MBILI, kwa miaka miwili ni sawa na MAMELODI ambaye pia anapokea BILLION kwa mwaka, nadhani tumeanza kuelewa thamani ya huu mkataba mkubwa.
Nadhani tumeanza kuelewa maana ya safari za Barbra kwenda Al Ahly na Mamelodi, hao ndio magwiji wa Afrika Kwenye mikataba ya hatari na mikubwa ya kibiashara barani Afrika, bila shaka kuna somo kalipata.
Mkataba huu ni hatarishi kwa SPORTPESA, Sote tunatambua kuwa SPORTPESA ndie Mdhamini Mkuu wa Simba, lakini kwasasa kazidiwa pesa Kwenye vitabu vya Simba kutoka kwa Vunjabei kwa hii BILLION MBILI
Maana yake ni nini? Thamani ya Simba imepanda maradufu, kama Sportpesa watataka kusalia kwa kandarasi mpya baada ya mwanzo kuisha ni lazima waanzie hapo kwenye Billion Mbili, hata Kampuni zingine lazima zianzie hapo kwenda mbele.
Wakati mpira unakuwa na Simba sasa inaenda mbele zaidi, hakuna kampuni itaenda kujadiliana na Simba kiwepesi sasa hivi, hiyo ni kanuni ya soko ELASTICITY OF THE BUSINESS, tayari Simba kuna hatua wamepiga.
Kwa Vunjabei tayari ana soko kubwa sana, anajua kuhusu Mavazi, mwisho hii ni WIN WIN SITUATION.