Simba is Business, Business is Simba

Simba is Business, Business is Simba

Akiprint jezi laki 5 mara 30000 maana yake ataingiza bil 15

Ukitoa bilion 2 ya simba na labda gharama za matengenezo bilion 6.

Anabaki na faida ya bilion 7 hiyo ni minimum

da wabongo sie wakali sana wa mahesabu za kurahisisha,, yaani mtu keshampigia jamaa ataingiza 7b... hv purchasing power ya watu wa mpira huku kwetu ikoje.. hapo achilia mbali counterfis zinazouzwa buku 10. unaweza ukaona jamaa wataingiza pesa nyingi ila gharama za kuipata hiyo pesa nyingi ni kubwa pia.

ukumbuke kuna promo kubwa lazima ifanywe kila siku iitwayo leo . na ununuaj wetu wa jersy sio mkubwa. naamnin kuna wachache ambao wananunua jearsy msimu kwa msimu . kina sie hadi iliopo ichoke kwanza ndo tujipange kwa jersy mpya

muulizen GSM alivyokuwa anahaha na jearsy za mwaka jana na huu.. msimu mpya ulifika kwenye stock akawa na jersy za zaman. hadi leo zipo. na aamin hata simba pia. bado hatuna ile tabia ya kununua jearsy kwa ajili ya kumbukumbu. tunanunua kama vazi la kawaida .. so had ichoke ndio ipishane na mpya

hii biashara acha tuishangilie huku nje ila .. inahitaj financial muscles kuiendesha na promo nyingi
 
Mkuu ulisoma shule gani inayofundisha mambo rahisi namna hii?
Yaani wewe umechukulia kuwa hizo jezi VB anazipata bure kabisa.
Unashindwa hata kujua malighafi ya jezi atanunua. Pia kuna gharama za usafirishaji na usambazaji. Achilia mbali kodi kibwena za nchi hii. Pia kumbuka hiyo bei hawezi kuuza yeye ikiwa jezi zitasambazwa kwa mawakala mikoani na kuuzwa kwa wanaouza rejareja.
Halafu umesahau kuwa na mzigo haimaanishi utauzika wote, kuna kuharibika, kupotea, changamoto za kiuchumi kwa wateja, n.k
Pia uuzwaji wa jezi utategemea na utendaji wa timu (performance) kwa siku zijazo. Hapa VB wametake risk kwani ikiwa simba itakuwa na matokeo mabovu uwanjani itakuwa ngumu kwa jezi kuuzika.
Kwa kifupi hiyo bil 7 ya faida hakuna namna anaweza kuipata hata iweje.
Ni kweli atapata faida kubwa maana ndio malengo ya biashara yoyote lakini pia kumbuka hata asipouza bado Simba watapata bil 2 yao tu.

We pumbu kweli hujui kusoma au? Hiyo bil 7 niliyoandka hapo ya matengenez ni ya matako yako au? Soma kitu kabla ya kukurupuka kujibu ye sio mjinga aingie biashara isiyo na faida
 
We pumbu kweli hujui kusoma au? Hiyo bil 7 niliyoandka hapo ya matengenez ni ya matako yako au? Soma kitu kabla ya kukurupuka kujibu ye sio mjinga aingie biashara isiyo na faida
Unazidi kudhihirisha shuleni ulikuwa unakula makamasi tu we utopolo. Matengenezo imekuwa gari mbovu kama Yanga?
 
Kampuni kubwa ya vifaa vya michezo duniani Puma atoe bilioni moja kwa mwaka kwa timu kubwa ya mamelodi iliyopo nchi yenye purchasing power kubwa ya afrika kusini.

Mnaongeza sifuri kama wasanii wa bongo fleva, kisha mtudanganye muuza ronya ambaye hana hata audited financial statement nae anatoa bilioni moja kwa mwaka.... mnajua bilioni 1 ni sawa na milioni moja moja ziwe 1000, sasa huyo vunja bei anazitoa wapi hizo hela? Purchasing power ya watanzania unajua ikoje? Ndio maana hao kina puma, nike, adidas hatuwamudu.
Nani kakwambia hana audited reports??

Soma vigezo vya tenda
Screenshot_20210420-193838.png
 
Niwakumbushe tu kuwa Mamelodi Sundowns analipwa Rand Million 20 kwa Mwaka ni ni sawa na Rand Million 60 kwa mitatu kutoka Kampuni ya PUMA.

Mamelodi alipomaliza mkataba wake na NIKE hakuongeza tena na alitaka dili jipya lenye maslahi zaidi, hivyo PUMA anawapa sawa na BILLION MOJA kwa Mwaka.

Simba leo wamesaini mkataba na VUNJABEI nadhani ndio mkataba ghali zaidi kwa ukanda huu wa maziwa Makuu na hata kwa klabu za Afrika Kusini baadhi hazigusi mkataba huu mnono.

Simba atapokea BILLION MBILI, kwa miaka miwili ni sawa na MAMELODI ambaye pia anapokea BILLION kwa mwaka, nadhani tumeanza kuelewa thamani ya huu mkataba mkubwa.

Nadhani tumeanza kuelewa maana ya safari za Barbra kwenda Al Ahly na Mamelodi, hao ndio magwiji wa Afrika Kwenye mikataba ya hatari na mikubwa ya kibiashara barani Afrika, bila shaka kuna somo kalipata.

Mkataba huu ni hatarishi kwa SPORTPESA, Sote tunatambua kuwa SPORTPESA ndie Mdhamini Mkuu wa Simba, lakini kwasasa kazidiwa pesa Kwenye vitabu vya Simba kutoka kwa Vunjabei kwa hii BILLION MBILI

Maana yake ni nini? Thamani ya Simba imepanda maradufu, kama Sportpesa watataka kusalia kwa kandarasi mpya baada ya mwanzo kuisha ni lazima waanzie hapo kwenye Billion Mbili, hata Kampuni zingine lazima zianzie hapo kwenda mbele.

Wakati mpira unakuwa na Simba sasa inaenda mbele zaidi, hakuna kampuni itaenda kujadiliana na Simba kiwepesi sasa hivi, hiyo ni kanuni ya soko ELASTICITY OF THE BUSINESS, tayari Simba kuna hatua wamepiga.

Kwa Vunjabei tayari ana soko kubwa sana, anajua kuhusu Mavazi, mwisho hii ni WIN WIN SITUATION.
mkuu tatizo la tanzania tuna akina kingwangala wengi sana, muda sio mrefu wataanza makelele yao ya kipumbavu na kuvuruga timu mwisho tutarudi kule kule kwa kina kilomoni sijui na vizee vingine vijinga jinga vilivyojaa hapo kariakoo vinacheza bao!

FCC wanatakiwa kukamilisha hili suala la uwekezaji ili kulinda pesa za watu...... sisi mashabiki tunataka furaha masuala ya nani anakula pesa hayatuhusu! tunataka uwanja wetu bunju ukamilike, tunataka ofisi (HQ) za klabu yetu ziwepo na ziendane na hadhi yetu, tunatamani shughuli zote za simba zifanyike kwenye HQ za simba kama ilivyo kwa vilabu vya ulaya na nchi zingine zilizoendelea!......
 
Huyu chinga ameua asisahau na vitu vya nyumbani, condom, electronic viwe msimbazi tupu.
Ila utopolo watakuwa wamenuna sana walipo sikia habari hii
🤣 Walijua zahera ndio anatambulishwa Simba Sc
 
Nitoe shukrani za dhati kabisa kwa uongozi wa Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama Samia Hassan Suluu kwa kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji kama hawa na kuwa na imani na Serikali yao hadi wakaamua kuwekeza pesa zao
 
Hivi najiuliza mtu mzima na p*umbu zake anasema eti adida sijui puma sijui nike. hivi mnajua bei za jezi za kampuni hizo. Nendeni mlimani pale jezi 180,000 - 250,000 nani ana ubavu wa kununua hizo. Huoni utatengeneza nafasi ya watengeneza jezi feki kutamalaki.
Simba wameangalia mengi kulingana na kipato cha mtanzania wa kawaida.

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app

Kumbe hata kununua jezi ya dollar 80 huwezi
Acha majungu piga kazi
 
Niwakumbushe tu kuwa Mamelodi Sundowns analipwa Rand Million 20 kwa Mwaka ni ni sawa na Rand Million 60 kwa mitatu kutoka Kampuni ya PUMA.

Mamelodi alipomaliza mkataba wake na NIKE hakuongeza tena na alitaka dili jipya lenye maslahi zaidi, hivyo PUMA anawapa sawa na BILLION MOJA kwa Mwaka.

Simba leo wamesaini mkataba na VUNJABEI nadhani ndio mkataba ghali zaidi kwa ukanda huu wa maziwa Makuu na hata kwa klabu za Afrika Kusini baadhi hazigusi mkataba huu mnono.

Simba atapokea BILLION MBILI, kwa miaka miwili ni sawa na MAMELODI ambaye pia anapokea BILLION kwa mwaka, nadhani tumeanza kuelewa thamani ya huu mkataba mkubwa.

Nadhani tumeanza kuelewa maana ya safari za Barbra kwenda Al Ahly na Mamelodi, hao ndio magwiji wa Afrika Kwenye mikataba ya hatari na mikubwa ya kibiashara barani Afrika, bila shaka kuna somo kalipata.

Mkataba huu ni hatarishi kwa SPORTPESA, Sote tunatambua kuwa SPORTPESA ndie Mdhamini Mkuu wa Simba, lakini kwasasa kazidiwa pesa Kwenye vitabu vya Simba kutoka kwa Vunjabei kwa hii BILLION MBILI

Maana yake ni nini? Thamani ya Simba imepanda maradufu, kama Sportpesa watataka kusalia kwa kandarasi mpya baada ya mwanzo kuisha ni lazima waanzie hapo kwenye Billion Mbili, hata Kampuni zingine lazima zianzie hapo kwenda mbele.

Wakati mpira unakuwa na Simba sasa inaenda mbele zaidi, hakuna kampuni itaenda kujadiliana na Simba kiwepesi sasa hivi, hiyo ni kanuni ya soko ELASTICITY OF THE BUSINESS, tayari Simba kuna hatua wamepiga.

Kwa Vunjabei tayari ana soko kubwa sana, anajua kuhusu Mavazi, mwisho hii ni WIN WIN SITUATION.
Kwa hiyo kampuni kubwa ya puma unalinganisha na vunjabei!?
 
“Nitoe shukrani kwa uongozi wa Simba na kwa Wanasimba. Naamini wamerudisha tumaini jipya kwa vijana wengi. Tunaenda kutengeneza vitu vingi kama jezi, t shirt, cover la simu, miwani, saa za Simba, kofia, soksi, viatu, mabegi na vitu vingi.”- CEO wa Vunja Bei, Fred. #NguvuMoja

Nimependa hii ikiwezekana hadi condoms.
Unamvaaa mnyama mkali sio?
 
Kampuni kubwa ya vifaa vya michezo duniani Puma atoe bilioni moja kwa mwaka kwa timu kubwa ya mamelodi iliyopo nchi yenye purchasing power kubwa ya afrika kusini.

Mnaongeza sifuri kama wasanii wa bongo fleva, kisha mtudanganye muuza ronya ambaye hana hata audited financial statement nae anatoa bilioni moja kwa mwaka.... mnajua bilioni 1 ni sawa na milioni moja moja ziwe 1000, sasa huyo vunja bei anazitoa wapi hizo hela? Purchasing power ya watanzania unajua ikoje? Ndio maana hao kina puma, nike, adidas hatuwamudu.
Vunja bei akitengeneza jezi laki 1 kwa sh 25000 kwa mwaka ni sh 2.5 bilioni mwaka wa poli analipa kodi na ktafuta faida. Pia kumbuka vunja bei anatengeneza jina haangalii faida kubwa.
 
Wewe ndio huna hela ng’ombe wewe
Kazi kuja kulilia wanaume hapa
Fanya kazi usipende mteremko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi ni akili za utopolo kubishana ni matumizi mabaya ya rasilimali muda. Mimi naweza kununulia jezi zote tatu za timu yako ya ulaya (home away n neutral)ukaletewa na DHL nyumbani kwa shemeji yako unapokaa mpuuzi mmoja wewe

Sent from my PBAT00 using JamiiForums mobile app
 
Sie tunahitaji furaha hizo habar nani anafaidika haituhusu, Simba oyeee
 
Back
Top Bottom