Simba isimuache Saido Ntibazonkiza bado ana mchango mkubwa sana

Simba isimuache Saido Ntibazonkiza bado ana mchango mkubwa sana

WANA SIMBA wote wana HASIRA na tulisha ambiwa tusiwe tunatoa maamuzi tukiwa na hasira au furaha...
 
Mwanzoni nilidhani tatizo la Simba ni mwekezaji, viongozi na wachezaji. Kumbe hata washabiki nao ni tatizo
 
Mimi sielewi kwanini wanasimba wana chuki kali dhidi ya Saidoo. Saidoo ndiye mfungaji bora msimu uliopota akiwa na Mayele, saidoo ndiye mfungaji bora wa simba msimu huu. Saidòo ni mchezaji mwenye kujituma sana. Why saidoo? Vipenzi vyenu kina chama na kibu wamefanya nini cha kujivunia msimu huu? Why matusi kwa saidoo? Hii si busara kwa soka la Tz
Japo mimi siyo Simba lakini linapokuja suala la kweli nabaki na kweli. Saidoo ni mchezaji wa muhimu sana kwa wachezaji waliopo hapo ukoloni.
Endapo watamwacha watakuwa wameachia mali na watazikumbuka sauti zetu.
Umri siyo tatizo wampime kwa kile anacho deliver uwanjani na kwenye kapu lao mwisho wa msimu.
Nikitaka kuwa mkweli Saidoo amenikera sana kwa jinsi alivyocheza kwa kujituma hapo Simba kuliko alivyocheza timu yangu ya Yanga.
 
We kweli umepitwa na mda saidoo kwenye mkataba wake kuna kipengele cha yeye kucheza mechi kwa dakika 75 akiwa fit na sio kwamba wanamuanzisha kwa uwezo wake mchezaji mbinafsi kama yule wa nn simba sehemu ya kutoa pasi anataka kufunga halafu kila faulu anataka apige yeye aondoke kama sio ubinafsi wake simba isingeenda shirikisho.
Isingeenda shirikisho maana yake nikwamba ata nafasi ya 3 isingepata.Kwasababu ilo shirikisho lenyewe simba imelipata ukiwepo mchango wa saido ambaye wewe unamwona hafai.Swala la ubinafsi ilo ni swala la walimu kwasababu wao ndio wanaowaona wachezaji kwa karibu kuliko sisi watazamaji.Ukitaja wachezaji 3 waliojituma uwanjani kwa simba hii iliyomaliza ya 3 jina la saido haliwezi kukosekana.Tumpe haki yake.
 
Mimi sielewi kwanini wanasimba wana chuki kali dhidi ya Saidoo. Saidoo ndiye mfungaji bora msimu uliopota akiwa na Mayele, saidoo ndiye mfungaji bora wa simba msimu huu. Saidòo ni mchezaji mwenye kujituma sana. Why saidoo? Vipenzi vyenu kina chama na kibu wamefanya nini cha kujivunia msimu huu? Why matusi kwa saidoo? Hii si busara kwa soka la Tz
Wabongo sisi ni fuata upepo tu.hatuna muda wakufanya logic.Kuna watu wanamchukia ila wengi wao hawana sababu za msingi.Kama ambavyo kuna ambao walikua wanamchukia aziz k bila sababu hadi kumtukana uko mitandaoni.
 
Isingeenda shirikisho maana yake nikwamba ata nafasi ya 3 isingepata.Kwasababu ilo shirikisho lenyewe simba imelipata ukiwepo mchango wa saido ambaye wewe unamwona hafai.Swala la ubinafsi ilo ni swala la walimu kwasababu wao ndio wanaowaona wachezaji kwa karibu kuliko sisi watazamaji.Ukitaja wachezaji 3 waliojituma uwanjani kwa simba hii iliyomaliza ya 3 jina la saido haliwezi kukosekana.Tumpe haki yake.
Goal za penalty nazo ni za kujivunia kweli.
 
Furaha ya shabiki yyt ni kuona timu yake inanyanyua makwapa, vinginevyo kila shabiki anakuwa na hasira sana kwa namna yyt atayoona inamfaa kutema nyongo
 
Back
Top Bottom