Simba isiposhuka daraja mimi si raia

Simba isiposhuka daraja mimi si raia

Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!

Sihoraisi sisi tushukedarja,
Sis nitim kubua sana.

CC Pdidy
 
Last edited by a moderator:
Hata hivo we sio raia unataka kupitishia tu rud kwenu Malawi
 
Hesabu hii hapa. Acha kutokwa na mapovu.
Kama mechi tatu zilizopita matokeo yalikuwa hivi;
Shida
Droo
Shindwa

Then mech tatu zijazo;
Droo
Shindwa
Shindwa

Na mechi tatu tena zijazo;

Shindwa
Shindwa
Shindwa

Logic tu baba

Sasa jumlisha wewe mwenyewe point.

Je itakuwa ya ngapi katika msimamo?

Tena assumption ni kuwa zipo mechi sita mkononi.

Asante kunielewa



hahahaha hesabu za kifala ----
 
mimi huwa sitaki kusikia simba na yanga ni timu za waswahili wa dar nashangaa sana wenzangu wasio ishi dar kushabikia timu za ki se nge hizi na kuacha timu zetu za nyumbani
 
Tupe ID yako ya ukweli muda ukifika tukutimue

Mkuu jamaa afungashe tu maana amethibitisha mwenyewe yeye si raia alikuwa anatafuta sababu ya kuondoka. Asepe tu kimyakimya kabla hatujamvalia njuga
 
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!

saa hizi nadhani utakuwa unaelekea mpakani kurudi kwenu
 
simba ikishuka daraja hii nchi itakuwa na amani..
 
Naona dalili za Mke kumchoka mumewe sasa anataka afungwe jela ili aolewe na Bwana mwingine.

Bahati mbaya ndoa yenyewe ni ya Kikristo, mpaka kifo hiyo.
 
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!
ukisikia akili mbovu ndio hii

Lazma ulifeli sana hisabati
 
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!
Siku hizi mnaojiita wachambuzi wa soka mpo wengi sana!
 
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!

We bado raia?
 
Najua mtakuja na mapovu midomoni enyi wana simba wenzangu lakini hesabu kamwe haiongopei.
Kamahesabu simba imeshashuka daraja na mwakani itakuwa ligi daraja la kwanza. Hii ni fomula tu.
Mwenye mawazo tofauti weka hapa!!!!

Mkuu bado tupo na wewe unavukia kigoma au mbeya kurudi kwenu??
 
Back
Top Bottom